Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,597
- 3,087
Ana mimba ya askari sero sasaivi!!Na miti lazima wampige.
Ana mimba ya askari sero sasaivi!!Na miti lazima wampige.
Katoe ushahidi sasa wa jinsi alivyokubaka na wanawake wenzio 40Huyo bwana ako jambazi lazima tumfunge safari hii
Kazi ya kubaka wanafunzi wa kike, kazi ya kupiga watu misumari kwenye miguu, kazi ya kuvamia mahotel ili kupora fedha. Kazi ya kuua wapinzania ili upinzani ushindwe! Kazi kubwa "my foot"hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyo shahidi si ktk kesi moja tu ambayo ushahidi umekamilika?Kwenye hii kesi ,Rais Samia shituka kila siku kesi inasogezwa mbele kisa mashahidi hakuna.
Watu walewale waliomzushia Bashiru kwamba amechota hela hazina mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo walewale waliomzushia Sabaya tuhuma nyingi zisizo na ushahidi ndiyo maana hawatokei mahakamani.
Jana CAG amesema hakuna hela ypyote iliyochotwa mara baada ya kifo cha rais Magufuli.View attachment 1837735View attachment 1837736
Zitaenda.Si uzipeleke mahakamani?
Hizo kazi nyingi ndiko alikopitia ktk kudhulumu.hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kesi imeisha au ?Si uzipeleke mahakamani?
wezi wakubwa nyie.hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka hadharani uandamane watamuachiaJamani mnamwonea tu Dc wetu, na ssi wana hai rumechoka na uzalilisuaji huu kwa sabaya
Mimi nilivyosoma charge sheet tu nikahisi kuna mchezo wa kupikwa, au kwa lugha ya Rais wetu mpenda " kesi za kubambikiza".hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Msilazimishe kesi iishe mapema,kesi huwa inanoga ikikaa muda mrefuKwenye hii kesi ,Rais Samia shituka kila siku kesi inasogezwa mbele kisa mashahidi hakuna.
Watu walewale waliomzushia Bashiru kwamba amechota hela hazina mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo walewale waliomzushia Sabaya tuhuma nyingi zisizo na ushahidi ndiyo maana hawatokei mahakamani.
Jana CAG amesema hakuna hela ypyote iliyochotwa mara baada ya kifo cha rais Magufuli.View attachment 1837735View attachment 1837736
Nenda katoe ushahidi,acha kelele mitandaoniHuyo bwana ako jambazi lazima tumfunge safari hii
sasa si aachiwe
Hao unaowasema warudishwe hata wakirudishwa hawawezi kutenda waliotenda.Kwa mwenendo ulivyo namshauri mama amuachie Sabaya na amrudishie cheo chake cha mkuu wa wilaya pale Hai... na ikimpendeza pia amrudishe Makonda pale Dar es salaam a awape mamlaka zilezile walizopewa na mwendazake...
Kuna vijogoo sasa vinajifanya pumzi imerudi wakati vikuwa vimeufyata na kubaki nyuma ya keyboard huku wengine wakikimbia kimbia huku na kule....
Sio kwamba wengine tulikuwa tunakubaliana na JPM hapana, lakini kutokubaliana na JPM kimtazamo hakutufanyi tukubaliane na ujinga wa wanasiasa wapumbavu wanaotaka nchi iendeshwe na fikra zao na mashinikizo yao..
Si na wewe ulibakwa, nenda katoe ushahidiMashahidi wameanza kununulika
Kuna mchezo mchafu
Mliobakwa nendeni mkatoe ushahidi sasaKazi ya kubaka wanafunzi wa kike, kazi ya kupiga watu misumari kwenye miguu, kazi ya kuvamia mahotel ili kupora fedha. Kazi ya kuua wapinzania ili upinzani ushindwe! Kazi kubwa "my foot"