greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,929
Si ndo mpeleke ushahidi sasa.WAnajenga mazingira ya kuwaachia kisa mashahidi hawakuonekana. Orodha ya mashahidi wansohitajika mahakamani iweke hadharani .
Si ndo mpeleke ushahidi sasa.WAnajenga mazingira ya kuwaachia kisa mashahidi hawakuonekana. Orodha ya mashahidi wansohitajika mahakamani iweke hadharani .
Wachaga ni wa kushindwa tuAma kweliiiiii wachaga washafeli
Subiri tumkomoe kwanza, ni mwendo wa siku 14 ,14 tu. Mpaka hukumu itoke ashachezea mwaka. Na akimaliza Arusha tunae MoshiSasa naanza kuamini huyu jamaa alisingiziwa.
Chadema na wafuasi wao wakamzishia Bashiru kuchukua mabilioni ya pesa bank kuu kumbe uongo...
Hawana ushahidi wowoteSi ndo mpeleke ushahidi sasa.
Tulisema lazima Sabaya atoke kama pamba...in Raila Odinga's voice.Leo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai bwana Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani kwa mara ya tatu huku mashahidi wakishindwa kufika mahakamani na kusababisha kesi kusogezwa mbele hadi tarehe 16/7/2021...
Dadako ataenda baada ya siku 14Mliobakwa nendeni mkatoe ushahidi sasa
Hahaha chadema ni washamba sanaUlishawahi ona wapi DC anaiba simu ya tecno.
Kuna utaratibu wa kupeleka ushahidi na mashahidi mahakamani. Mashakamani sio sokoni.kuna utaratibuSi ndo mpeleke ushahidi sasa.
Isije ikwa unaiishi dar unajifanya hapa jf eti ni mkazi wa hai.Eti atashinda Kesi, ashinde kivipi wakati Ushahidi dhidi ya tuhuma zake umenyooka kama rula!!!atachukua mvua ili aolewe kabisa Jela matako huyu, katutesa sana mjini hapa
Unasubiri nini kufuata hizo taratibu?Kuna utaratibu wa kupeleka ushahidi na mashahidi mahakamani. Mashakamani sio sokoni.kuna utaratibu
Huyo jamaa inadaiwa ni TISS kweli. Huyo na katambiHuyu atashinda kesi tena kwa ujinga wa maccm
Kama aliweza kushinda ile ya kitambulisho fake cha TISS.
Hakika CCM ni ile ile angalia alivyoanza kubadilisha suti
Ukute hata atokei mahabusu huyu mwizi
Kwenye hii nchi kama Baba yako alikuwa CCM na wewe ni CCM basi hunyongwi.Wamnyonge tu huyo pimbi
Hiv mashahidi wasipofika mahakamani dalili ni njema kwa mtuhumiwa.siku si nyingi DC Sabaya atakuwa huru.Naomba mtunze hii mesejiOle Sabaya mtu mwenye tuhuma zisizo na idadi , leo tena amefikishwa mahakamani huko Arusha akiwa amevaa Suti iliyopauka ili kusikiza kesi zinazomkabili.
Kesi za aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano, ambao wanakabiliwa na mashtaka sita na mawili ya ujambazi wa kutumia silaha zitaanza kusikilizwa leo.
Mashitaka mawili ambayo leo yanatarajiwa kuanza kusikilizwa ni ya ujambazi wa kutumia silaha ambayo mawakili wa Serikali, Tumaini Kwema, Abdallah Chagula na Tarsila Garvas walieleza kuwa upelelezi wake umekamilika.
Mashitaka hayo yatafikishwa leo mbele ya mahakimu wawili tofauti; Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha.
-----UPDATE-----
Mahakama ha Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kesi inayomkabiri aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya mara baada ya mashahidi wa kesi ya unyanganyi wa kutumia silaha kutofika Mahakamani.
Mawakili wa Serikali waliiambia Mahakama kuwa Shahidi amepata udhuru na kuahidi kuwa atakuwepo siku nyingine itakayopangwa kesi hiyo.
Kesi imeahilishwa mpaka Tarehe Julai 16, 2021.
--