Arusha: Sabaya na wenzake wafikishwa Mahakamani. Kesi yaahirishwa baada ya mashahidi kukosekana Mahakamani

Hao unaowasema warudishwe hata wakirudishwa hawawezi kutenda waliotenda.

Mi nakuombea Mungu yakukute au yamkute mwanafamilia yako Yale Sabaya na Makonda waliowafanyia watanzania. Hapo ndio akili yako itaka sawa.

Hivi hujiulizi tu kwa Nini mamlaka zimechukua hatua? Au umeona wooote hawana akili wanamwonea Sabaya?

Subiri yakukute ndio utajua
Screenshot_20210702-125102_millardayo.jpg
 
Hao unaowasema warudishwe hata wakirudishwa hawawezi kutenda waliotenda.

Mi nakuombea Mungu yakukute au yamkute mwanafamilia yako Yale Sabaya na Makonda waliowafanyia watanzania. Hapo ndio akili yako itaka sawa.

Hivi hujiulizi tu kwa Nini mamlaka zimechukua hatua? Au umeona wooote hawana akili wanamwonea Sabaya?

Subiri yakukute ndio utajua

Binafsi naujua ujinga wa wote hao wawili, wala sihitaji uniambie...binafsi nilikuwa katika watu niliowapigia sana kelele na kuwapinga wote na baba yao na kusikitika sana kwa matendo yao.

imefikia mahala nimebadili mtizamo na kuona kuna mahala hao watu wanahitajika pia ili wapumbavu na wajinga fulani wasilete madhara makubwa yanayoweza kuangamiza halaiki..

Kuna wakati lazima tutambue waAfrica wanahitaji mkono wa chuma kuwaongoza ili wakae sawa...tofauti na hapo mtakuwa mnacheza mchezo wa paka na panya...Africa bado kila mtu anataka kuwa mwanasiasa na kuamini lazima asikilizwe na asipo sikilizwa basi anaweza kuidanganya umma kwa propaganda na mwisho wa siku mkaingia kwenye shida...sasa watu jamii hii huhitaji diplomasia kudeal nao bali undava ili jamii isiharibiwe na kupotoshwa..Demokrasia Africa bado sio mahala paka..undava kwa sasa ndio stage ambayo Africa ipo..
 
Binafsi naujua ujinga wa wote hao wawili, wala sihitaji uniambie...binafsi nilikuwa katika watu niliowapigia sana kelele na kuwapinga wote na baba yao na kusikitika sana kwa matendo yao.

imefikia mahala nimebadili mtizamo na kuona kuna mahala hao watu wanahitajika pia ili wapumbavu na wajinga fulani wasilete madhara makubwa yanayoweza kuangamiza halaiki..

Kuna wakati lazima tutambue waAfrica wanahitaji mkono wa chuma kuwaongoza ili wakae sawa...tofauti na hapo mtakuwa mnacheza mchezo wa paka na panya...Africa bado kila mtu anataka kuwa mwanasiasa na kuamini lazima asikilizwe na asipo sikilizwa basi anaweza kuidanganya umma kwa propaganda na mwisho wa siku mkaingia kwenye shida...sasa watu jamii hii huhitaji diplomasia kudeal nao bali undava ili jamii isiharibiwe na kupotoshwa..Demokrasia Africa bado sio mahala paka..undava kwa sasa ndio stage ambayo Africa ipo..
Unfortunately hujawahi kuwa kiongozi hivyo ni busara kukaa kimya kuliko ulichoongea.
 
Kwa sabaya gerezani ni salama zaidi kuliko uraiani... Akirudi uraiani lazima aliwe kichwa!
 
Kwenye hii kesi ,Rais Samia shituka kila siku kesi inasogezwa mbele kisa mashahidi hakuna.

Watu walewale waliomzushia Bashiru kwamba amechota hela hazina mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo walewale waliomzushia Sabaya tuhuma nyingi zisizo na ushahidi ndiyo maana hawatokei mahakamani.

Jana CAG amesema hakuna hela ypyote iliyochotwa mara baada ya kifo cha rais Magufuli.
==
Kesi ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na wenzake watano wanaokabiliwa na mashtaka sita yakiwemo mawili ya ujambazi wa kutumia silaha imeahirishwa hadi Julai 16, 2021.

Juni 18, 2021 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Sabaya na wenzake wawili walisomewa mashtaka mawili na leo Ijumaa Juni 2, 2021 ndio ilikuwa siku ya mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao lakini ikaelezwa kuwa hawapo.

Siku hiyo ilielezwa kuwa Februari 9, 2021 katika mtaa wa Bondeni, Sabaya akiwa na watuhumiwa wenzake wawili walitenda kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya kuvamia duka la Said Saad na kuwaweka chini ya ulinzi.

Ilielezwa kuwa Sabaya na walinzi wake, Sylivester Nyingu (26) maarufu Kicheche na Daniel Mbura(38) walitenda kosa hilo baada kumfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetini na kumuibia 390,000.

Katika tukio hilo wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao pia wanatuhumiwa kumpiga mateke kumtishia silaha na kumpora simu na Sh35,000 Ramadhani Ayoub. Watuhumiwa hao ambao walikana mashtaka yanayowakabili wanatetea na wakili, Moses Mahuna.

Leo katika mahakama hiyo ilidaiwa mashtaka mengine manne yanayowakabili upelelezi wake bado haujakamilika.

Wakili wa Serikali, Tarsila Garvas aliomba kupangwa siku nyingine ili mashahidi hao waanze kutoa ushahidi wao na hakimu mkazi mkuu, Salome Mshasha alikubali maombi hayo na kuahirisha kesi hiyo hadi Julai 16, 2021.
View attachment 1837735View attachment 1837736
Kuwa na subira. Muda ukifika, kesi itasikilizwa na haki itapatikana kwa pande zote mbili. Sasa kama shahidi ana dharura, unataka kesi isikilizwe tu hivyo hivyo?

Kama ni kuhusu mtuhumiwa! Yeye yuko mahali salama! Hivyo uwe na amani. Haki inacheleweshwa tu. Mwisho itapatikana. Ngoja abadili kwanza mazingira ili awe na adabu wakati mwingine.
 
Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake watano wanaokabiliwa na mashitaka sita yakiwemo mawili ya ujambazi wa kutumia silaha imeahirishwa hadi Julai 16, 2021.

Juni 18, 2021 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Sabaya na wenzake wawili walisomewa mashtaka mawili na leo Ijumaa Julai 2021 ndio ilikuwa siku ya mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao lakini ikaelezwa kuwa hawapo.

Wakili wa Serikali, Tarsila Garvas ameomba kupangwa siku nyingine ili mashahidi hao waanze kutoa ushahidi wao na hakimu mkazi mkuu, Salome Mshasha amekubali maombi hayo na kuahirisha kesi hiyo hadi Julai 16, 2021.
FB_IMG_1625227849605.jpg
FB_IMG_1625227849605.jpg
 
Hivyo vitabu amepewa part time yakufundisha ujangili?

Naona ana vitabu vingi kuliko masila ya mahakama
 
Screenshot_20210702-125102_millardayo.jpg

unaona CHOKO wenzio wameanza kutoka nduki kutoa ushahidi wa uongo? na atatoka tu mkome na wivu wenu
Matusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kujiliwaza , Hakuna Shahidi yeyote anayeweza kumuogopa mtu mdogo sana kama Sabaya .

Labda kwa taarifa yako ni kwamba Sabaya amekwisha hata ufanyeje , na labda kwa faida yako na masikini wenzio wengine ni kwamba usalama pekee alionao Sabaya ni kuendelea kuwa jela kwa maisha yote aliyobaki nayo , nadhani unaelewa
 
Ole Sabaya mtu mwenye tuhuma zisizo na idadi , leo tena amefikishwa mahakamani huko Arusha akiwa amevaa Suti iliyopauka ili kusikiza kesi zinazomkabili...
Haki yake baada ya siku 365 ili awe ametumika kwa kazi nyepesi nyepesi za hapo gerezani, na kuwa na uzoefu wa hilo jumba la wote
 
Back
Top Bottom