Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

Napenda kumwonya Lema asikubali kununuliwa na CCM. Kwani wanachadema sio watu wa mzaha kama CCM. Chadema ni chama makini kama alivyo mgombea wetu wa kiti uraisi Dr. Slaa. Hatutaki mzaha kabisa.

Teo Komba
 
Huu mziki mi naona wanaukosea stepu kabisaa, nale Lema akiingia mkenge ataumia, tena asicheze na hasira za watu waliochoka!
Nasikia mambo yote yalikuwa yanaenda sawa, hadi hapo alipoingia Manywele(EL) kwenye UKUMBI HUO WA mANISPAA, NDIPO HALI YA HEWA IKABADILIKA, na tangu wakati huo ni kimya kabisa!
Naambiwa watu wamepanda kwenye maghorofa yaliyo jirani na hapo wana, na wanaanza kurusha mawe, lakini huko ndani ni kimya kama vile hakuna mtu!
Nguvu ya kifisadi jamani tusii'underestimate...ni mbaya sana!
 
Kabla muda unavyozidi kwenda, Arusha Mjini inaweza kubadilika na kuwa "Kosovo"!

Watu wamezunguuka hili jengo la kuhesabia na kutangaza matokeo na nina wasiwasi kuwa, kama kutakuwa na "uchakuchuaji" yale yaliotokea Kenya tunaweza kuyashuhudia muda sio mrefu::: Huu wingi wa watu hauwezi kudhibitiwa na "vyombo vya usalama" kama kuna ghasia ikitokea - most likely "vyombo vya usalama" wanaweza kutumia silaha za moto:sad:
 
That can't be - Arusha sio sawa na mikoa mingine Lema kufanya hivyo anauza "uhai" wake - serioulsy.
Jafar you have a very strong point ..kama anakata kuishi asicheze na feelings za watu/kura za wanachi watamuua imagine toka usiku watu hawajalala na afanye huo ujinga he will die
 
Mungu apishie mbali!

I mean whats the big deal? Musoma mjini wametangaza fasta..hapo Arusha mjini kuna nini au umbali gani? au wapiga kura wengi kiasi cha kushindwa 'kujumlisha'?
 
yaani huku arusha watu wamejaa sana pale manispaa...kama ccm wataamua kujitangaza washindi basi damu itamwangika, watu wamechoka na ccm kwani tangu mwaka 1995 imekuwa haikubaliki na wakazi wengi.
 
Mwisho wa CCM yaelekea lazima damu imwagike siju kwa sababu ipi na baada ya hapo wanafikiri wataendelea kuaminika nasi?
 
NOOOO! SIO LAZIMA! Kama mtu kashindwa kashindwa tu! Hata kama akishuka nani! Na kama kashinda kashinda!
 
Haya Yote CCM wanayataka kama kweli hawapendi damu ya Raia hata mmoja wa Tanzania imwagike watangaze matokeo halali nini kinawazuia wakati kila kitu kiko tayari???
Mungu apishe mbali
 
Mungu apishie mbali!

I mean whats the big deal? Musoma mjini wametangaza fasta..hapo Arusha mjini kuna nini au umbali gani? au wapiga kura wengi kiasi cha kushindwa 'kujumlisha'?

Hakuna lolote hommie na janja yao mbovu ambayo nina uhakika haitawasaidia
 
imposible. Arusha itanuka damu. Mungu aepushie mbali lkn thats how it is.. Huyu malaya akubali tu. Sipati picha lema angeshindwa halafu akatae labda angekuwa sero sasa.
 
Mshindi anajulikana ni nani hata matokeo yabadilishwe vipi, lawama zote ziende kwa tume ya uchaguzi ni sheria ipi inaruhusu mgombea wa jimbo mmoja kwenda jingine hapa tume wana swali la kujibu
 
mbona tunampa promo sana lowassa? what is wrong with you people

its like bila yeye hakuna arusha
 
What the hake!! sitaki kuamini jamani hebu tuambieni nini kinaendelea huko na kama ni kweli Batilda ndio mshindi...
 
mbona tunampa promo sana lowassa? what is wrong with you people

its like bila yeye hakuna arusha

Mkuu Hizi habari si za Kupuuzia hata kidogo kuna Mtu kanipigia simu yawezekana isiwe kweli lakini kwa sasa siwezi kubisha kwa Sababu ccm hawana soni
 
Back
Top Bottom