Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

Unasemaaaa!! PJ habari nzito hizi, Lema ni wa calibre hiyo kweli? After having fought 4 all this long aje kununulika kirahisi tu namna hiyo, hakika nguvu ya umma itamrudi, asithubutu kuchezea utashi wa wapiga kura wa A-town!
 
That can't be - Arusha sio sawa na mikoa mingine Lema kufanya hivyo anauza "uhai" wake - serioulsy.
 
jAMANI, kuna hali ya hatari inakaribia kutokea huku Arusha...
Matokeo bado yameshikiliwa, hayatangazwi, na umati wa mji wa Arusha umekaa nje unasubiri kwa jazba kali mno.
Lakini kuna mtu kaniambia possibility ya ajabu sana, kuwa wameshindwa kuchakachua kura za Lema, sasa wanataka kumchakachua yeye(Lema) binafsi kwa KUMPA FEDHA KIASI ATAKACHOTAKA YEYE, ili aachie ngazi na kutangaza kuwa ameshindwa!!
Jamani si mnaona damu hapo inatafutwa?


Heshima kwako PakaJimmy,

Mkuu wangu haya mambo nilikuwa nakwambia kila siku hukunielewa kabisa ilifika mahali ukashindwa kunielewa tuko pamoja kupigania ukombozi wa Tanzania.Mkuu Lema ni karata mbovu nilishasema siku nyingi nakushagaa leo unaleta habari nilizozitabiri miezi miwili iliyopita.

Mkuu PJ zipo njia tano ambazo najua zitatumiwa kummaliza Lema moja ni hiyo uliyosema bado ziko nne hazija tumika subiri ujionee mwenyewe nakwambia utakuja nipigia magoti na kuniomba msamaha kibao.Lema akitangazwa mbunge hatadumu zaidi ya miaka miwili take it from me Broda.
 
Hizo kura siyo za Lema ni za Wanachadema, hawezi ingia mkenge aisee.


Mkuu wangu Lema alishinda mwaka 2005 kitu alichotufanyia Mungu anajua kama namsingizia alituuza akavuata mshiko akakimbilia CHADEMA binafsi nikapiga kelele sana hakuna aliyenisikia wengine walidiriki kuniambia nina chuki binafsi.
 
jAMANI, kuna hali ya hatari inakaribia kutokea huku Arusha...
Matokeo bado yameshikiliwa, hayatangazwi, na umati wa mji wa Arusha umekaa nje unasubiri kwa jazba kali mno.
Lakini kuna mtu kaniambia possibility ya ajabu sana, kuwa wameshindwa kuchakachua kura za Lema, sasa wanataka kumchakachua yeye(Lema) binafsi kwa KUMPA FEDHA KIASI ATAKACHOTAKA YEYE, ili aachie ngazi na kutangaza kuwa ameshindwa!!
Jamani si mnaona damu hapo inatafutwa?

Paka jimmy upo A-Town au wapi. Jibu hilo swali tafadhali mkuu.
 
niko usawa wa mita 200 kutoka office za manispaa ya arusha kwa mda wa masaa mawili sasa.hali ya hapa si shwari kwani kuna tetesi kuwa lowasa amefika na kufanya kikao na mgombea wa chadema.kwa mda wote wafuasi wa chadema ndio waliokuwa wamejaa ila sasa wafuasi wa CCm wamenza kupita hapa maeneo ya clock tower.anyway watu bado tunasubiri kwa hamu kujua nini kitaendelea.stay tuned for more information.
Lowassa anakuja kwenye jimbo hilo kama nani?? hivi anadhani zile zama zake bado zipo eh??

ningekua rais, ningemchapa kifungoni tu huyu... mara aingilie wengine, mara aanze kampeni za uspika mara hili mara lile

eish
 
yaani leo nimefungu bia badala ya chai asubuhi ha ha ha a crazy monday
 
Huyo Batilda ni nyumba yake ndogo na hao watoto kazaa nae. Ushahidi kamili kapimeni DNA.
 
jAMANI, kuna hali ya hatari inakaribia kutokea huku Arusha...
Matokeo bado yameshikiliwa, hayatangazwi, na umati wa mji wa Arusha umekaa nje unasubiri kwa jazba kali mno.
Lakini kuna mtu kaniambia possibility ya ajabu sana, kuwa wameshindwa kuchakachua kura za Lema, sasa wanataka kumchakachua yeye(Lema) binafsi kwa KUMPA FEDHA KIASI ATAKACHOTAKA YEYE, ili aachie ngazi na kutangaza kuwa ameshindwa!!
Jamani si mnaona damu hapo inatafutwa?
too late... people's power is beyond a candidate... hizo kura sio za lema bali ni za wananchi wa arusha
 
Huu mziki mi naona wanaukosea stepu kabisaa, nale Lema akiingia mkenge ataumia, tena asicheze na hasira za watu waliochoka!
 
Nimeanza kuhakikisha maneno kadhaa kuhusu Lema, nina wasiwasi si mwanamapinduzi kama tunavyodhani! Cha kufanya wana Arusha ni kuendelea kulinda kura (matokeo ya vituo vyote), kama yeye atakubali kununuliwa-ile upande wake, asiwaletee mapenzi!:A S angry:
 
Huyu jamaa anavuka mipaka anafanya kama Tanzania ni familia yake...
 
Hawezi kuchezea hisia za watu..haiwezekani..dhamira itamsuta wakati nafsi ikimgwaya..hawezi..
 
Back
Top Bottom