Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

What sucks and what is scary is that we know we can be so much better.

Hebu Arteta na Berta na akina Kroenke acheni utani. Malizieni hiki kikosi na wachezaji wachache wa maana tuanze kubeba makombe tena.
Hiki kilichotokea kina maana kubwa sana....wachezaji wetu wte muhimu wataongeza mikataba mirefu....Saliba...Big Gabby...Martinelli ..Saka....na nahisi Partey atabaki kwa misimu miwili zaidi...Odegaard....na wachezaji watakuwa wakipigiwa simu na Andrea Berta kwamba tunakuhitaji...ni chap kidogo wanakuja...wanaona bomu linalotengenezwa....Manunu wajiandae zile 8 za enzi ya Ferguson hakyanani siku za usoni zinarudi....Zubimendi...Gyokeres...na left winger mwingine anakuja....msimu ujao Chelkenge na Manunu wasilete timu uwanjani....watajuta
 
Mara ya mwisho Arsenal kufikia hii stage ya kucheza nusu fainali ilikuwa ni Mwaka 2009

Tangu 2009 hadi 2025 ni zaidi ya miaka 16 sasa

Kama wenye timu wataongeza fedha, Kwa hiki kikosi chetu chenye wastani wa miaka 24 yajayo yanazidi kufurahisha 💪💪
 
Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.

Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
Jamani Arteta ana dhambi nyie, cheki hii milio
 
Nyie kina Ngoswe points 13 sio nyingi kombe lenu kabisa hili.
Hivi mnajua dirisha kubwa mngekua mmemsajili Kudus sasa hivi mngekua mnapambania kuchukua Treble?
Akili kisoda za Tetea akaona akimchukua mcheza Baikoko Rahim Sterling atawasaidia kubaki top4.View attachment 3303069
Si tunataka UEFA, hayo mengine gombanieni wenyewe
 
Kichekesho ni kwamba mashabiki walilaumu baadhi ya wachezaji kutoanza na wengine kutochezeshwa namba zao so wakademand reform.

Carlo akawapa reform waliyoitaka.

Soon, akaanza kufanya sub za kutugea timu ya kwanza tuliyoipiga 3. Modric akapotea, Valverde akapotea.

Too much reliance ya long balls na cross za Vazquez ikaonekana ya kipuuzi. Akawa subbed off ingawa ni kapteni.

And then anahojiwa baadaye anasema kwamba kipindi cha kwanza Arsenal tulikuja kudefend hatukuja kucheza mpira. Mind you, kipindi cha kwanza kilichezwa kwa dakika 52 na Vardrid haikua na shot on target hata moja.

While Arsenal iliyokuja kudefend ikawa na shots on target 3.

Vardrid imetoka na big chance 1. Big chance yenyewe ni blunder aliyoifanya Saliba. Arsenal akazalisha big chances 3 akakosa 1.

I don't understand, why would you be talking the whole week ukitarajia kuitisha the best defense team in the world kwa long balls? Arsenal tumekuja hatuna ST na hatuna beki wetu partner wa Saliba Magalhaes.

Watu wanalia
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
Umerudi na ujinga wako, tukifungwa unakimbia.
 
Hah, nmeangalia sana mechi za Arsenal, Liverpool, Barcelona msimu huu. Lakini Kwa Arsenal ni aidha umshinde kwenye mbinu (Hili ni ngumu sana) au umfunge Kwa janja janja kama tunavyofanya sisi united kwa baadhi ya timu kubwa, msimu huu Arsenal Iko tofauti sana, huwezi mfunga goli nyingi hivyo.
Dah! Mkuu unajua mpiraaa
 
Ukiicheki Inter dhidi ya Bayern both legs nafikiri ndiyo sababu wengi wetu tunaihofia.

Inakubali kuconcede possession na inaweza kukufunga muda wowote.

Pavard, aliishi Bayern for years ila jana ilibidi awadisappoint waajiri wake wa zamani.
 
Mimi nilisharidhika na kufika nusu fainali tu yaani. Ikitokea tumetolewa sitalaumu na ikitokea tumevuka nitafurahi tu.
Hizi ndio mentality za mashabiki wa Arseno, timu lina miaka zaidi ya 20 halijabemba kombe lolote la maana, halafu mashabiki wake wanaridhika kabisa na kuona ni mafanikio makubwa sana kwa timu yao kuwepo top 4 kwenye ligi, na wakibahatika kufika nusu fainali Uefa kwao wanaona ni over achievement.
Ndio maana Kroenke's na Tetea wake hawana presha yoyote ya mafanikio ya hii timu.
 
Give us Real Madrid Again 😂
20250417_013342.png
 
Saliba aliniudhi baada ya kuwapa lile bao, lakin baada ya kukumbuka kazi anayoifanya ikabidi niwe mpole tu.

Wapumbavu mikwala miingi sijui remontanda kila mtu aligeuka motivation speaker mpaka akina Ramos, na uwanja wao utafikiri hotpot ya kutunzia ugali wa mtama...!! Halafu mwisho wa siku wamechezea tena kichapo, nafikiri huu msimu hawatakuja kuusahau sikumbuki ni lini real madrid walitolewa kwa fedheha hivi.
Walileta timu yao ya wanawake ikaambulia kipigo pia.
Hawana hamu na Arsenal
 
Hizi ndio mentality za mashabiki wa Arseno, timu lina miaka zaidi ya 20 halijabemba kombe lolote la maana, halafu mashabiki wake wanaridhika kabisa na kuona ni mafanikio makubwa sana kwa timu yao kuwepo top 4 kwenye ligi, na wakibahatika kufika nusu fainali Uefa kwao wanaona ni over achievement.
Ndio maana Kroenke's na Tetea wake hawana presha yoyote ya mafanikio ya hii timu.
Umeniudhi na sasa nafanya kama Hamisi nakupa laana usiingie top 13 ya EPL na leo Lyon akutoe ili usiingie Ulaya msimu ujao. Na kwa hasira hii hii, hili kombe tumeamua kuwa tunalibeba sasa.
 
Back
Top Bottom