arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Hiki kilichotokea kina maana kubwa sana....wachezaji wetu wte muhimu wataongeza mikataba mirefu....Saliba...Big Gabby...Martinelli ..Saka....na nahisi Partey atabaki kwa misimu miwili zaidi...Odegaard....na wachezaji watakuwa wakipigiwa simu na Andrea Berta kwamba tunakuhitaji...ni chap kidogo wanakuja...wanaona bomu linalotengenezwa....Manunu wajiandae zile 8 za enzi ya Ferguson hakyanani siku za usoni zinarudi....Zubimendi...Gyokeres...na left winger mwingine anakuja....msimu ujao Chelkenge na Manunu wasilete timu uwanjani....watajutaWhat sucks and what is scary is that we know we can be so much better.
Hebu Arteta na Berta na akina Kroenke acheni utani. Malizieni hiki kikosi na wachezaji wachache wa maana tuanze kubeba makombe tena.
