Kaka Usije kuwategemea piesijiiiii kwenye kazi za msingi hawana tofauti na Azam / Asenali wenyeweNyie wapumbavu kesho mkamtoe Madrid
Lkn PSG watawaondoa
Nyie ni wapumbavu tu
baada ya kumng'oa Madrid, Arsenal jiandaeni kunyanyua kwapaJuzi pia umesema barcelona ĺlikuwaga inatoa rushwa.
Mkuu inaonekana ni mtu wa lawama sana.
Sina shaka kwa haram football ya arteta akiamua kulicheza Bernabeu mnapita vzr kabisa.
Kesho kutakua na darasa murua kwa nyumbu na kengeHuyu anatoka, huyu anaingiaView attachment 3305444
The Art of WinningKesho kutakua na darasa murua kwa nyumbu na kenge
Kipindi: The Art of Defending
Duels Duels DuelsThe Art of Winning
Safi sanaKushinda mechi sio suala la kutaka au kutokutaka, kushinda kunahitaji uwezo.
Je huo uwezo wa kushinda mnao?
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Psg anapumulia mrija sasahiviAston Villa hawachomoki kabisa
Tunza risiti tukutane kesho hiyoAisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.
Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
Mpumbavu niwewe mbwaNyie wapumbavu kesho mkamtoe Madrid
Lkn PSG watawaondoa
Nyie ni wapumbavu tu