Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuombe Partey awepo kesho baaasiiii shighuli inakuwa imeisha🤠🤠🤠....nimeangalia mechi ya mAdrid jumapili wakicheza tena kama vile kipondo kinawahusu.....wanaacha sana magepu kule nyuma
Hayo magepu tuna shida nayo 😂😂😂
20250215_173701.jpg
 
Haramu football kutoka kwa Artetalliban.

Tunaenda kumfanya Diego Simeone ajione ni amateur kwenye defending
 
Wanawake wa Leicester City sijui wamewakosea nini wanawake wetu. Dakika ya 30 tu sasa warembo ya Slegers washawapiga 3 - 0.
 
Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.

Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
 
Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.

Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
Tunza risiti tukutane kesho hiyo
 
Back
Top Bottom