ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Aston VillaWewe unahisi baada ya Madrid timu gani itaizuia Arsenal?
Aston VillaWewe unahisi baada ya Madrid timu gani itaizuia Arsenal?
Sasa Aston Villa atapangua bakora alizolambwa na PSG?Aston Villa


Nyie kina Ngoswe points 13 sio nyingi kombe lenu kabisa hili.
Juzi pia umesema barcelona ĺlikuwaga inatoa rushwa.Madrid na rushwa dugu moja
Arsenal anatolewa na Madrid utakuja kuikumbuka hii comment yanguJuzi pia umesema barcelona ĺlikuwaga inatoa rushwa.
Mkuu inaonekana ni mtu wa lawama sana.
Sina shaka kwa haram football ya arteta akiamua kulicheza Bernabeu mnapita vzr kabisa.
Sawa sheh yahya!Arsenal anatolewa na Madrid utakuja kuikumbuka hii comment yangu
Madrid anaenda kupita hiyo game japo mimi sio shabiki waoKama Real Madrid atapata goli ndani ya dk15-20 basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂
Wakati naandika hiyo comment nilikua naangalia mechi ya Madrid na Alaves. Niliandika hiyo comment kutokana na kilichotokea uwanjani.Juzi pia umesema barcelona ĺlikuwaga inatoa rushwa.
Mkuu inaonekana ni mtu wa lawama sana.
Sina shaka kwa haram football ya arteta akiamua kulicheza Bernabeu mnapita vzr kabisa.
Tushapata na mashabiki huko