Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nitajiuliza, Hivi ni kweli tulimuachia Arsenane amkimbize Liverpool asitangazwe bingwa mapema?
Mwaka mmoja au kumi mbele itawekwa kwenye rekodi kwamba Arsenal, ikiwa haina ST na majeruhi 5+ ilimtoa Madrid.

Kwa muda huo itakua very inspiring. Sasa hivi kutokua na knowledge ya mpira kunawasumbua
 
What's funny ni pale J5 Madrid akigeuza kibao.

Nitacheka sana.
inawezekana ila sidhani kama ni rahisi hivyo kwao, so sina wasiwasi kwa sasa. Tumecheza mechi nyingi tu chini ya kiwango kama jana, hivyo kushukuka kwetu kwa kiwango katika baadhi ya mechi istupotezee matumaini moja kwa moja. Tunawza kwenda Bernabeu na kuwashangaza mabingwa watetezi.
 
inawezekana ila sidhani kama ni rahisi hivyo kwao, so sina wasiwasi kwa sasa. Tumecheza mechi nyingi tu chini ya kiwango kama jana, hivyo kushukuka kwetu kwa kiwango katika baadhi ya mechi istupotezee matumaini moja kwa moja. Tunawza kwenda Bernabeu na kuwashangaza mabingwa watetezi.
Mostly tunacheza below par kutokana na kuingiza wachezaji wengi ambao hua hawana game time.

Mashindano madogo madogo kama carabao, FA haya ndiyo hutakiwa kuhakikishia game time ambao siyo starters. Bahati mbaya hua tunatoka mapema
 
Niliwaambia washkaji madogo walioenda timu zingine siyo kwamba watapata game time isipokua mshahara utakua mkubwa kuliko Arsenal.
 
Mashabiki wa nyumbu wanachekesha

Yaani Arsenal inayoongoza 3 inatishiwa kuliko nyumbu aliyesuluhu? Tena wamecheza kilevi vibaya
 
Washika mitutu kazi yetu ni moja tu kulenga wote wanaokatiza..!! 😹😹
Chama ni moja A R S E N A L pah pah 🔫
Msipochukua UEFA huu mwaka, bas sahauni kabisa.
Mliona sisi wana CITIES, tuliamua na tukafanya, afu ilikua Treble.
😂😂😂😂😂
 
Msipochukua UEFA huu mwaka, bas sahauni kabisa.
Mliona sisi wana CITIES, tuliamua na tukafanya, afu ilikua Treble.
😂😂😂😂😂
Wewe bado una hasira ya kufungwa 😹😹
Safari hii tunawakaza kavukavu uduguu 🤣
 
Mwaka mmoja au kumi mbele itawekwa kwenye rekodi kwamba Arsenal, ikiwa haina ST na majeruhi 5+ ilimtoa Madrid.

Kwa muda huo itakua very inspiring. Sasa hivi kutokua na knowledge ya mpira kunawasumbua
Kuna timu zimeacha kupambania makombe siku hizi. Kitu pekee (labda) watashinda msimu huu ni kumtoa Madrid.
 
Back
Top Bottom