PSG hata kwenye kushambulia wana rely zaidi kwenye indivudual techinical skills ya washambuliaji wao kuliko tactical fluidity na cordination, ndio maana wanafika golini mara nyingi sana halafu mashambulizi yanakuwa butu, mpaka akina Kvaritshka wapate angle nzuri ya kupiga mpira ndoa wanafunga.Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG
Arteta aje na midfield ya
Merino Rice Ø
Why?
PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana
Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0
PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,
Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,
Sasa kuwamaliza twende na midfield ya
Merino Rice Ø
Hapo Kuna physicality na OOP
PSG hata kwenye kushambulia wana rely zaidi kwenye indivudual techinical skills ya washambuliaji wao kuliko tactical fluidity na cordination, ndio maana wanafika golini mara nyingi sana halafu mashambulizi yanakuwa butu, mpaka akina Kvaritshka wapate angle nzuri ya kupiga mpira ndoa wanafunga.
Kwa defense yetu ilivyo hicho kitu hawatakiruhusu.





For the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.
Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..
Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..
Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL
Yeah of course it's..
Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date






Kwakweli kwa kufika hatua hii ni jambo la kujivunia sana na hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita hatujafika kwenye hizi late stages za UCL..!! Lakin hatupaswi kuridhika kwa kufika nusu fainali tu hasa ukiangalia hili ndio kombe peked lililoko mbele yetu, aisee bado mechi tatu tu za hii michuano, yatupasa tucheze kufa kupona tusipoteza hata mechi moja na sisi tuweke heshima ulayaMimi nilisharidhika na kufika nusu fainali tu yaani. Ikitokea tumetolewa sitalaumu na ikitokea tumevuka nitafurahi tu.
Vipi kijogoo mbona viimoji vya kinafiki? Sikuelewi
Saliba aliniudhi baada ya kuwapa lile bao, lakin baada ya kukumbuka kazi anayoifanya ikabidi niwe mpole tu.Madrid akawaonee wajinga wenzake. Standard ipo na inazidi kuwepo ata msimu ujao madrid hatatamani kwenye mtoano akutane na arsenal
Kufunga paa ndio kuliko waponza, wangeliacha wazi tu
Acha waendelee kupiga ramli mpaka mwisho wa msimu, mwisho wa siku wataanza kusema "mna bahati tu timu zote shiriki zilikuwa mbovu" hapo ni baada kazi kuwa imekamilika...!!Tunaanza circle tena.
Mwanzo ilikua Madrid atawatoa. Akafa 3.
Ikaahidiwa comeback for a week.
Madrid kafa tena.
Wameanza ujinga wa kusema PSG atatukomesha.
These fools never learn
Walitaka wakifungwa watu wasisikieMadrid akawaonee wajinga wenzake. Standard ipo na inazidi kuwepo ata msimu ujao madrid hatatamani kwenye mtoano akutane na arsenal
Kufunga paa ndio kuliko waponza, wangeliacha wazi tu
Na msimu huu tunabeba kombe la championshipKwakweli kwa kufika hatua hii ni jambo la kujivunia sana na hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita hatujafika kwenye hizi late stages za UCL..!! Lakin hatupaswi kuridhika kwa kufika nusu fainali tu hasa ukiangalia hili ndio kombe peked lililoko mbele yetu, aisee bado mechi tatu tu za hii michuano, yatupasa tucheze kufa kupona tusipoteza hata mechi moja na sisi tuweke heshima ulaya
Na ubingwa tunabebaUbingwa wenu ni kumfunga Madrid pimbi nyie, hakuna kitu mnaweza tena.
Of courseArsenal bingwa
Acha utani dogo huyo Madrid hajabondwa na liver?Loserfools ilikua kila wakikutana na Vardrid Mudi ataanza kupost online 'Revenge' halafu wanabondwa.
Ilifikia hatua ikabidi aache kuandika revenge. Na bado wakabondwa.
Kwa Arsenal mambo yamekua tofauti
Mashabiki maandazi, Kwan Saka keshafunga penalty ngapi kabla?Ndo maana tunaitwa Nyani huko Ughaibuni,Hivi unawezaje kuipa Nyani kupiga penati?
Nimechukia sana Leo!