Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

For the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.

Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..

Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..

Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL

Yeah of course it's..

Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
PSG hata kwenye kushambulia wana rely zaidi kwenye indivudual techinical skills ya washambuliaji wao kuliko tactical fluidity na cordination, ndio maana wanafika golini mara nyingi sana halafu mashambulizi yanakuwa butu, mpaka akina Kvaritshka wapate angle nzuri ya kupiga mpira ndoa wanafunga.

Kwa defense yetu ilivyo hicho kitu hawatakiruhusu.
 
PSG hata kwenye kushambulia wana rely zaidi kwenye indivudual techinical skills ya washambuliaji wao kuliko tactical fluidity na cordination, ndio maana wanafika golini mara nyingi sana halafu mashambulizi yanakuwa butu, mpaka akina Kvaritshka wapate angle nzuri ya kupiga mpira ndoa wanafunga.

Kwa defense yetu ilivyo hicho kitu hawatakiruhusu.
 
For the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.

Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..

Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..

Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL

Yeah of course it's..

Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date
 
Mimi nilisharidhika na kufika nusu fainali tu yaani. Ikitokea tumetolewa sitalaumu na ikitokea tumevuka nitafurahi tu.
Kwakweli kwa kufika hatua hii ni jambo la kujivunia sana na hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita hatujafika kwenye hizi late stages za UCL..!! Lakin hatupaswi kuridhika kwa kufika nusu fainali tu hasa ukiangalia hili ndio kombe peked lililoko mbele yetu, aisee bado mechi tatu tu za hii michuano, yatupasa tucheze kufa kupona tusipoteza hata mechi moja na sisi tuweke heshima ulaya
 
Madrid akawaonee wajinga wenzake. Standard ipo na inazidi kuwepo ata msimu ujao madrid hatatamani kwenye mtoano akutane na arsenal

Kufunga paa ndio kuliko waponza, wangeliacha wazi tu
Saliba aliniudhi baada ya kuwapa lile bao, lakin baada ya kukumbuka kazi anayoifanya ikabidi niwe mpole tu.

Wapumbavu mikwala miingi sijui remontanda kila mtu aligeuka motivation speaker mpaka akina Ramos, na uwanja wao utafikiri hotpot ya kutunzia ugali wa mtama...!! Halafu mwisho wa siku wamechezea tena kichapo, nafikiri huu msimu hawatakuja kuusahau sikumbuki ni lini real madrid walitolewa kwa fedheha hivi.
 
Tunaanza circle tena.

Mwanzo ilikua Madrid atawatoa. Akafa 3.

Ikaahidiwa comeback for a week.

Madrid kafa tena.

Wameanza ujinga wa kusema PSG atatukomesha.

These fools never learn
Acha waendelee kupiga ramli mpaka mwisho wa msimu, mwisho wa siku wataanza kusema "mna bahati tu timu zote shiriki zilikuwa mbovu" hapo ni baada kazi kuwa imekamilika...!!
 
Yaani kwa mikwara waliyokuwa nayo na hili parade la kuelekea uwanjani, mtu angeweza kusema tunaenda kupigwa goli kumi leo.
20250417_021407.jpg
 
Hata kama tumeshinda kuna haja ya kuandika juu ya matukio kadhaa ya uwanjani na nje ya uwanja na kukabidhi FIFA.

Dani hakua na haja ya kuanzisha ugomvi na Saka kwa kumfuata kwenye tunnel.

Asencio na Rudiger walikua wanacheza kihuni unnecessarily.
 
Mimi naiona Arsenal na Barcelona fainali, je tutalipa kisasi cha 2006?

Katika maisha yangu ya soka mechi zilizowahi kuniuma, sikulala kabisa ni,
1. Arsenal Vs Barcelona UEFA Final 2006
2. France Vs Italy WC Final 2006
3. Yanga Vs USM Alger Caf CC Final 2023

Tumeshatafuna kubwa la maadui Madrid nothing can stop us.
 
Kwakweli kwa kufika hatua hii ni jambo la kujivunia sana na hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita hatujafika kwenye hizi late stages za UCL..!! Lakin hatupaswi kuridhika kwa kufika nusu fainali tu hasa ukiangalia hili ndio kombe peked lililoko mbele yetu, aisee bado mechi tatu tu za hii michuano, yatupasa tucheze kufa kupona tusipoteza hata mechi moja na sisi tuweke heshima ulaya
Na msimu huu tunabeba kombe la championship
 
Loserfools ilikua kila wakikutana na Vardrid Mudi ataanza kupost online 'Revenge' halafu wanabondwa.

Ilifikia hatua ikabidi aache kuandika revenge. Na bado wakabondwa.

Kwa Arsenal mambo yamekua tofauti
Acha utani dogo huyo Madrid hajabondwa na liver?
 
Back
Top Bottom