Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,808
Wewe jamaa, leo umewewza kujisaidia haja kubwa kweli😂😂😂Mmeitoa madrid dhaifu pumbavu zenu.
Wewe jamaa, leo umewewza kujisaidia haja kubwa kweli😂😂😂Mmeitoa madrid dhaifu pumbavu zenu.
walipigwa ban kusajili au vp mkuu. kipigo ni kipigo tu mpirani huku uwe na majeruhi uwe umetimiaMmeitoa madrid dhaifu pumbavu zenu.
Madrid wafanye nini cha ajabu.Na magoli tuliyofunga ni mazuri. Unaziona moves.
Hawa Madrid wamefanya nini cha ajabu?
Leta timu yako.Mnauhakika hao mnaocheza nao ni real madrid?
Hii si ndio madrid iliyofungwa na Valencia ya 13 kwnye ligi, hapo hapo bernabeu.
Madrid hata wakicheza na Yanga wanapasukaMadrid wafanye nini cha ajabu.
Ni mjinga tu na asiyejua mpira ndo angeona labda kuna kitu cha ajabu anaweza kufanya.
Mwafrika katika ubora wa kutotumia akili patey kathibitisha..hongereni kwa ushindiPartey vipi tena!!!!!!!
Sio dhaifu wamezidiwaMmeitoa madrid dhaifu pumbavu zenu.
15 UCLNa magoli tuliyofunga ni mazuri. Unaziona moves.
Hawa Madrid wamefanya nini cha ajabu?
Hatujawahi kufungwa na Madrid. Tumewafunga mara 3 na wamewahi kubahatisha sare mara moja.Mmeitoa madrid dhaifu pumbavu zenu.
Nitakudharau. Ni better option kwa sasa.15 UCL
Ni first leg tuAmeikosa semi final
Tulia wewe psg sio timu mbovu kama madrid...madeid timu inaleak magoli kuliko ata malaya wa tabataTunaanza circle tena.
Mwanzo ilikua Madrid atawatoa. Akafa 3.
Ikaahidiwa comeback for a week.
Madrid kafa tena.
Wameanza ujinga wa kusema PSG atatukomesha.
These fools never learn
Of course bruhWhat sucks and what is scary is that we know we can be so much better.
Hebu Arteta na Berta na akina Kroenke acheni utani. Malizieni hiki kikosi na wachezaji wachache wa maana tuanze kubeba makombe tena.
Kweli. Wao ndio waliobahatisha. Sisi magoli ya move za kibabe tumefunga.Niliandika na nitarudia tena.
Arsenal, tunabebwa na defense. Watu wana-undeerstimate uwezo wa defense ya Arsenal.
Too bad hadi mashabiki hawana imani na hii defense. Hii ni defense ambayo ni ngumu kupokea magoli mengi kwa mara moja.
First leg tuliambiwa tumebahatisha. Second leg aliyepata goli la kubahatisha akawa busy kuwahype mashabiki wao.
Football is cruel.