Kichekesho ni kwamba mashabiki walilaumu baadhi ya wachezaji kutoanza na wengine kutochezeshwa namba zao so wakademand reform.
Carlo akawapa reform waliyoitaka.
Soon, akaanza kufanya sub za kutugea timu ya kwanza tuliyoipiga 3. Modric akapotea, Valverde akapotea.
Too much reliance ya long balls na cross za Vazquez ikaonekana ya kipuuzi. Akawa subbed off ingawa ni kapteni.
And then anahojiwa baadaye anasema kwamba kipindi cha kwanza Arsenal tulikuja kudefend hatukuja kucheza mpira. Mind you, kipindi cha kwanza kilichezwa kwa dakika 52 na Vardrid haikua na shot on target hata moja.
While Arsenal iliyokuja kudefend ikawa na shots on target 3.
Vardrid imetoka na big chance 1. Big chance yenyewe ni blunder aliyoifanya Saliba. Arsenal akazalisha big chances 3 akakosa 1.
I don't understand, why would you be talking the whole week ukitarajia kuitisha the best defense team in the world kwa long balls? Arsenal tumekuja hatuna ST na hatuna beki wetu partner wa Saliba Magalhaes.
Watu wanalia