Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umerudi na ujinga wako, tukifungwa unakimbia.
Muacheni Masingeli nae afurahie ushindi wa kumpaka Didy mafuta.
Ila Masingeli nae ana gundu aiseee, akishaanza tu kuleta porojo zake humu basi mechi yenu na Psg lazima mtolewe.
Nina uhakika Masingeli na allypipi watakua ni blood group moja.
1710748027241.jpg
 
Kichekesho ni kwamba mashabiki walilaumu baadhi ya wachezaji kutoanza na wengine kutochezeshwa namba zao so wakademand reform.

Carlo akawapa reform waliyoitaka.

Soon, akaanza kufanya sub za kutugea timu ya kwanza tuliyoipiga 3. Modric akapotea, Valverde akapotea.

Too much reliance ya long balls na cross za Vazquez ikaonekana ya kipuuzi. Akawa subbed off ingawa ni kapteni.

And then anahojiwa baadaye anasema kwamba kipindi cha kwanza Arsenal tulikuja kudefend hatukuja kucheza mpira. Mind you, kipindi cha kwanza kilichezwa kwa dakika 52 na Vardrid haikua na shot on target hata moja.

While Arsenal iliyokuja kudefend ikawa na shots on target 3.

Vardrid imetoka na big chance 1. Big chance yenyewe ni blunder aliyoifanya Saliba. Arsenal akazalisha big chances 3 akakosa 1.

I don't understand, why would you be talking the whole week ukitarajia kuitisha the best defense team in the world kwa long balls? Arsenal tumekuja hatuna ST na hatuna beki wetu partner wa Saliba Magalhaes.

Watu wanalia
Waambie
 
Umeniudhi na sasa nafanya kama Hamisi nakupa laana usiingie top 13 ya EPL na leo Lyon akutoe ili usiingie Ulaya msimu ujao. Na kwa hasira hii hii, hili kombe tumeamua kuwa tunalibeba sasa.
Kwa hio kwa makusudi kabisa umeamua kutunyima kombe letu mabingwa wa Europa 2024/2025?


#tukutane Uefa msimu ujao
 
Kinacholeta utamu zaidi sio tu kufika nusu fainali... bali tumefika nusu fainali kwa kumtoa bingwa mtetezi ambaye ndio baba wa michuano na tena tumemguza kama chapati za mama Kuluthumu.

#COYG.
Sana tu.
 
Na mafanikio ya mashabiki ya Man U ni nini? Timu yao kuingia top 10 EPL?
Kijana acha kuwafokea mabingwa wa Europa.
Ikifika May ndio utajua tofauti ya mafanikio ya Man Utd mabingwa wa Europa 2024/2025 na Arsenyau bingwa wa top4 na uefa semi final.
 
Ile Madrid ya akina Ramos ilikua kali sana na hawakuogopa Red Card
Kwa dakika mechi ilipofikia, aggregate na current score ya dakika zile ingekua dumb kutafuta red ambayo itafanya usicheze mechi tatu zijazo mkirudi CL.

Beki alikua sahihi kutofanya faulo
 
Merino ndio option
Hapana, Kilichoiua Madrid ni ile ya kuwapo Partey, Odegaard na Rice pale kati, halafu Merino yuko pale mbele na anarudi kusaidia midfield. Ndio maana Madrid kina Bellingham, Tchounamen, , Camavinga na Modric wali sanda.
Kocha anatakiwa kumtumia Joginho au Calafiori pale kati game ya kwanza na PSG. Sub baadae amlete Zincheko.

Game ya marudiano arudishe winning team na midifield iliyoanza na Madrid game zote mbili.
 
Muacheni Masingeli nae afurahie ushindi wa kumpaka Didy mafuta.
Ila Masingeli nae ana gundu aiseee, akishaanza tu kuleta porojo zake humu basi mechi yenu na Psg lazima mtolewe.
Nina uhakika Masingeli na allypipi watakua ni blood group moja. View attachment 3307161
😀 😀 😀

Kwa hiyo bora Hamisi abaki huko huko alikojichimbia mpaka tubebe kombe kwanza?
 
Back
Top Bottom