Sajo
Platinum Member
- Nov 8, 2010
- 4,421
- 7,893
UEFA hii ameanza kuangalia robo fainaliAcha utani dogo huyo Madrid hajabondwa na liver?
UEFA hii ameanza kuangalia robo fainaliAcha utani dogo huyo Madrid hajabondwa na liver?
Hiyo ni sehemu ya boli mzeya...yaani wee unataka both legs utawale wewe tuu kwani huyo mwengine hataki kishinda?Psg hiihii iliyotolewa kamasi na watoto wa Villa Park
Ukisikia beki bwege ndio huyu sasa, hapa ramos hakuachiGOAL! Martinelli kills game with calm finish! Real Madrid 1-2 Arsenal (agg 1-5)
View attachment 3306972
Acha waendelee kupiga ramli mpaka mwisho wa msimu, mwisho wa siku wataanza kusema "mna bahati tu timu zote shiriki zilikuwa mbovu" hapo ni baada kazi kuwa imekamilika...!!
Wewe utakuwa pacha wangu wa nje! Haiwezekani mfanano huu!Mimi naiona Arsenal na Barcelona fainali, je tutalipa kisasi cha 2006?
Katika maisha yangu ya soka mechi zilizowahi kuniuma, sikulala kabisa ni,
1. Arsenal Vs Barcelona UEFA Final 2006
2. France Vs Italy WC Final 2006
3. Yanga Vs USM Alger Caf CC Final 2023
Tumeshatafuna kubwa la maadui Madrid nothing can stop us.
Nyie ubingwa wenu ni upi sasa, kukaa hapo nafasi ya 14?Ubingwa wenu ni kumfunga Madrid pimbi nyie, hakuna kitu mnaweza tena.
Mimi niliipenda France kwa sababu ya Wenger, kisha Henry and of course Zidane pia.Wewe utakuwa pacha wangu wa nje! Haiwezekani mfanano huu!
Mimi YANGA, ARSENAL, FRANCE ( Kwa sababu ilikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal plus Zidane)
[emoji2]Walitaka wakifungwa watu wasisikie
Ukisikia beki bwege ndio huyu sasa, hapa ramos hakuachi
Kwani Madrid hakutaka kushinda? 😂😂😂Hiyo ni sehemu ya boli mzeya...yaani wee unataka both legs utawale wewe tuu kwani huyo mwengine hataki kishinda?
Alitala kushinda ila sasa timu ndio shida mkuu....wee timu kila mechi ata ishinde inaruhusu goli...hapo hamna timu bro. Ningenge la wahuni tuuKwani Madrid hakutaka kushinda? 😂😂😂
Hiki kilichotokea kina maana kubwa sana....wachezaji wetu wte muhimu wataongeza mikataba mirefu....Saliba...Big Gabby...Martinelli ..Saka....na nahisi Partey atabaki kwa misimu miwili zaidi...Odegaard....na wachezaji watakuwa wakipigiwa simu na Andrea Berta kwamba tunakuhitaji...ni chap kidogo wanakuja...wanaona bomu linalotengenezwa....Manunu wajiandae zile 8 za enzi ya Ferguson hakyanani siku za usoni zinarudi....Zubimendi...Gyokeres...na left winger mwingine anakuja....msimu ujao Chelkenge na Manunu wasilete timu uwanjani....watajutaWhat sucks and what is scary is that we know we can be so much better.
Hebu Arteta na Berta na akina Kroenke acheni utani. Malizieni hiki kikosi na wachezaji wachache wa maana tuanze kubeba makombe tena.