Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbape anajiona ana gundu sana, ameenda timu kubwa yenye mastaa wengi Kwa mbwembwe nyingi na ameishia kutolewa kwenye mashindano ila timu yake aliyotoka imesonga mbele kwenye hatua ya Semi final.

Luis Enrique ni bonge la kocha jinsi alivyoifanyia mabadiliko PSG kutoka kuwa timu ya Galacticos kuwa timu ya vijana wadogo wenye vipaji inathibitisha ubora wake.
 
GOAL! Martinelli kills game with calm finish! Real Madrid 1-2 Arsenal (agg 1-5)

CgAGVmgAGkmAe0O4ADjRD4r_TbU901.gif
 
Walete timu yao iliyo bora

Acha waendelee kupiga ramli mpaka mwisho wa msimu, mwisho wa siku wataanza kusema "mna bahati tu timu zote shiriki zilikuwa mbovu" hapo ni baada kazi kuwa imekamilika...!!
 
Mimi naiona Arsenal na Barcelona fainali, je tutalipa kisasi cha 2006?

Katika maisha yangu ya soka mechi zilizowahi kuniuma, sikulala kabisa ni,
1. Arsenal Vs Barcelona UEFA Final 2006
2. France Vs Italy WC Final 2006
3. Yanga Vs USM Alger Caf CC Final 2023

Tumeshatafuna kubwa la maadui Madrid nothing can stop us.
Wewe utakuwa pacha wangu wa nje! Haiwezekani mfanano huu!
Mimi ni YANGA, ARSENAL, FRANCE ( Kwa sababu ilikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal plus Zidane)
 
Wewe utakuwa pacha wangu wa nje! Haiwezekani mfanano huu!
Mimi YANGA, ARSENAL, FRANCE ( Kwa sababu ilikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal plus Zidane)
Mimi niliipenda France kwa sababu ya Wenger, kisha Henry and of course Zidane pia.

Nikufahamishe tu, Zidane ndiye mchezaji wangu bora wa muda wote.
 
Back
Top Bottom