Nimeandika.Kimahesabu inatakiwa tushinde kuanzia 3 bila kufungwa kwenda juu, ni timu chache sana zinaweza kutana na takwa hilo na likatimia.
Man City.
Sisi kushindwa himili presha imekua kama sehemu ya DNA, tuliwahi shindwa kwenda Europa kwa kukosa points 3 kwenye mechi tano. Mechi serious utashangaa mwingine anapata red mwingine anaanzisha ugomvi n.k.
Msimu uliopita ilitakiwa tushinde mechi mbili kati ya tatu zote tukasuluhu.
Mentally bado hatupo sawa sana.
Meza gani wapindueKua realistic mkuu ni jambo jema linapunguza disappointments kama izi.
Humu wenzako wengi hawatak kuhalisia.
Sema mda upo mnaweza pindua meza wakuu.
COYG![]()

TuelezeeTrossad saka odegard Jesus martinel
Hawa watakuja kivingine kipindi Cha pili, trust me
Wacha weeWestham wataondoka Kama walivyokuja
Points 3 zinabaki Emirates
Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi



Straika wenu attack zimefikia wapi?Moto aliopelekewa westham wanatamani like goal la kupewa lingekataliwa tu
Kipindi Cha pili tunaingia na full attack strikes
Kuna game tunahitaji ushindi Pepe akamkaba mtu akala red.Hivi akili umezitolea wapi?humu members wengi sana umewashinda kwa IQ wengi they don't know football wanaendeshwa na hisia Arsenal ni ile ile akili kisoda since 2005
Tembo amevunja kuti kavuNaamini leo tunashinda pasipo shida..
Tembo mtini hadi new year..
Hilo 1 uliwapeje Mkuu?Leo mnakufa 2-1, natanguliza pole yangu humu.
Muonaji katika ubora wakoNi naona kinyume. Game ni rahisi mno kwetu.
Kwani huyo pep hafungwi na hiyo possession? Si huyo pep ndo katoka kusuruhu na kupoteza gem mfululizo. Kama unataka uwe unashinda tu wewe basi anzisha ligi yako na timu yako icheze yenyewe kamwe hutoona inafungwaSahihi Mkuu, possession Football imebaki kwa Pep tu ndio inayomlipa kwa Makocha wengine ni Kujidanganya tu.
ya Saliba kuanza kupewa nafasi ya kucheza ulikuwa umewahi kuona kuwa ni complete player? Rice kabla ya kuja Arsenal kwa misimu kadhaa uliwahi kuona kuwa ni complete player? Unaweza kututhibishia??? Au ndo porojo za kuangalia mpira 1990. Huwezi kuwa serious weweKaeni kimya watoto mkiona kaka zenu tumeandika hapa jukwaani. Nimeangalia mpira tangu 1990, arsenal hatuna timu ya kubeba chochote.
Complete players ni wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni low to average squad players.







Kenge nyie.Kwa kipindi hicho arsenal ilikuwa ovyo sana ukilinganisha na sasa. Pia kuna improvement kubwa sana kwenye hizo gem za pressure kama ulivyosema. Mechi ya leo na ile ya Villa ni wachezaji tu kutotumia nafasi lkn nafasi za wazi zilipatikana. Timu imecheza vizuri basi tu ni matokeo ya mpira ndo yalivyo. Ukiondoa kona chache walizopata West ham walifika langoni kwetu mara 2 tu na hizo mbili moja wakafunga na nyingine wakakosa penatiKuna game tunahitaji ushindi Pepe akamkaba mtu akala red.
Xhaka anaruka tikitaka anatua kwenye mbavu ya mtu anakula red.
Kati ya game tulizotakiwa kushinda kati ya hizo tatu mbili tulianza kuongoza kwa goli 2.
Yaani timu yetu ni haiwezi kudeal na pressure. Kuanzia mwaka juzi ilikua tukitolewa shindano fulani baadhi ya mashabiki utaona wanasema bora tumetoka huko ili tufocus zaidi huku.
Mimi hua nawauliza ikiwa wanadhani tumetolewa kwakua sisi lengo letu ni kufocus na sehemu fulani pekee. Coz utanotice hua tunatolewa pale inapokua game ni ya pressure, tushatolewa hadi na timu za championship.
Mfano ingekua leo tupo nafasi ya kwanza na tuna points ambazo wa chini yetu hawazifikii hata wakishinda mechi zao hii game tungeshinda vizuri tu.