Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions league nakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football ️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
 
Mpira uko so unfair at times.
 

Attachments

  • Screenshot_20231229_010510_Google.jpg
    Screenshot_20231229_010510_Google.jpg
    53.6 KB · Views: 12
Kuna mawili...hujui Bolu au ww ni mamluki🤠🤠...ukitaka mfano WA squad player nenda kaangalie vikosi vya kwanza vya Manunu na Chelkenge tena wale wengi wao walitakiwa wawe waokota mipira....na wasiwasi ww ni Manunu au Chelkenge unayejaribu kudandia treni la Ashbaton Grove
Pumbavu sana wewe na mwenzio Hamis. Mmefahamu mpira kombe la dunia la 2018 na sasa mnajifanya wachambuzi.

Kaeni kimya msijaze ujinga kwenye hili jukwaa. Anzeni kusikiliza kaka zenu tunapoandika.

Nimeshabikia Arsenal tangu 1995 na mpira naujua. Hakuna timu ya kubeba hata karabao hapa.
 
Arteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions league nakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football ️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
Sahihi Mkuu, possession Football imebaki kwa Pep tu ndio inayomlipa kwa Makocha wengine ni Kujidanganya tu.
 
Pumbavu sana wewe na mwenzio Hamis. Mmefahamu mpira kombe la dunia la 2018 na sasa mnajifanya wachambuzi.

Kaeni kimya msijaze ujinga kwenye hili jukwaa. Anzeni kusikiliza kaka zenu tunapoandika.

Nimeshabikia Arsenal tangu 1995 na mpira naujua. Hakuna timu ya kubeba hata karabao hapa.
 
Kinachoitajika ni arteta kutengeneza mfumo wa kumsaidia Zinny upande ule kama jana ilivyokua kwa Liverpool walivyokua wametengeneza muundo wa kumsaidia TAA upande wake,

Yan wachezaji jana wamepambana saana lakini bado huoni iyo hali hadi useme unawachezaji wawili tu kikosi huku sasa ni kuumwa na kuwakosea wachezaj heshima
Kaeni kimya watoto mkiona kaka zenu tumeandika hapa jukwaani. Nimeangalia mpira tangu 1990, arsenal hatuna timu ya kubeba chochote.

Complete players ni wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni low to average squad players.
 
Back
Top Bottom