Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
Mashabiki wa Arsenal utoto mwingi sana0-2 Imelala hiyo, mchezaji mliyemuona hafai ndio kafunga



Mashabiki wa Arsenal utoto mwingi sana0-2 Imelala hiyo, mchezaji mliyemuona hafai ndio kafunga



Westham wataondoka Kama walivyokuja
Points 3 zinabaki Emirates
Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi
Multiple ID 🤠Huyu anayejiita Msurunje katokea wapi tena 😂😂😂
Naona kila comment anajibu yeye 😂😂
Halafu mbona kama hataki wengine waandike chochote hapa 😂
Makasiriko ya nini dogoBakia huko huko, takwimu hazidanganyi ubora walionao Arsenal. Nyie plastic fans wala hamtupi shida.


Martinell anakosa LB waku overlap ili aingie ndani
Martinell akiwa karibu na Goli anajua kufunga
Tutaanza kumuona martinell mpya soon
Leo West Ham wataonja sumu yao wenyewe. View attachment 2855406

The team themselves are regressing, hivi kwa data na facts za timu kwa kipindi kama hiki last season si tulikuwa better. Sasa ndo tumeyanyea mazima mapema kabisa.Arsenal ikipoteza mechi tu maneno ni mengi sana juu ya kocha wachezaji,nafasi ya ubingwa haipiganii yan utazani ndo timu pekee ambayo haipaswi kufungwa wala kutoa sare, hakuna timu ya aina iyo duniani
Mara hii game ilikua ni lazima kushinda hakuna timu isiyoitaji kushinda na hakuna timu inayoitaji kushindwa ila ukizidiwa mbinu lazima uadhibiwe,
Zinafufuliwa coment nyingi sana humu ndani ila kuna Comment moja ya Castr iliyokua na sababu nyingi sana juu ya kikosi chetu ba vikosi vya wapinzanu wetu ya kwamba
" Tujitaidi hadi kufika january tusizidiwe kwa gape la pointi 4-6 na waliojuu yetu kwa kua Inaonekana January ndo rasmi tutakua tunaanza ligi na sababu alizitoa ila humu siioni iyo coment ileteni basi tuijadili pia au mnatafuta baadhi baadhi tu..
Hatuko mbali kiasi icho 2 points na anaeongoza ligi, na tunamatumaini ya wachezaji kwenye maeneo muhimu yatakaua ni kama maingizo mapya, kama hatuko vizuri kama last season basi ndo maana nilikubaliana na kauli ya jamaa kua tujitaidi tusiwe mbali kwa idadi kubwa ya point na atakaekua juu,,The team themselves are regressing, hivi kwa data na facts za timu kwa kipindi kama hiki last season si tulikuwa better. Sasa ndo tumeyanyea mazima mapema kabisa.
Kama mkuu unahis Arsenal itabeba ubingwa bas sina lolote la kukwambia... Yan hata team zngne ziwe mbovu vp Gunners hawez beba ligi watachukua hata Aston Villa sio hawa Arsenal ambao kwny pressure wanapoteana.Basi Arsenal ni timu shindani. Kama unaiona haina uwezo hata hapo ilipo isingekuwepo. Tuwape heshima yao na tusubirie nin kitatokea. 19 play to go, tofauti ya point 2 na anayeongoza.
Hao unaowaona ni hatari wamefanya nin mbele ya Arsenal? Tuheshimu kazi za watu, sio kupiga porojo tu humu.
Tukutane May kufanya review ya msimu.
Mkuu we usichokielewa ni nini?Arsenal ikipoteza mechi tu maneno ni mengi sana juu ya kocha wachezaji,nafasi ya ubingwa haipiganii yan utazani ndo timu pekee ambayo haipaswi kufungwa wala kutoa sare, hakuna timu ya aina iyo duniani
Mara hii game ilikua ni lazima kushinda hakuna timu isiyoitaji kushinda na hakuna timu inayoitaji kushindwa ila ukizidiwa mbinu lazima uadhibiwe,
Zinafufuliwa coment nyingi sana humu ndani ila kuna Comment moja ya Castr iliyokua na sababu nyingi sana juu ya kikosi chetu ba vikosi vya wapinzanu wetu ya kwamba
" Tujitaidi hadi kufika january tusizidiwe kwa gape la pointi 4-6 na waliojuu yetu kwa kua Inaonekana January ndo rasmi tutakua tunaanza ligi na sababu alizitoa ila humu siioni iyo coment ileteni basi tuijadili pia au mnatafuta baadhi baadhi tu..
Sahivi arsenal inagombea nini? kama bado haijaanza rasmi kugombea ubingwa?Arsenal ikipoteza mechi tu maneno ni mengi sana juu ya kocha wachezaji,nafasi ya ubingwa haipiganii yan utazani ndo timu pekee ambayo haipaswi kufungwa wala kutoa sare, hakuna timu ya aina iyo duniani
Mara hii game ilikua ni lazima kushinda hakuna timu isiyoitaji kushinda na hakuna timu inayoitaji kushindwa ila ukizidiwa mbinu lazima uadhibiwe,
Zinafufuliwa coment nyingi sana humu ndani ila kuna Comment moja ya Castr iliyokua na sababu nyingi sana juu ya kikosi chetu ba vikosi vya wapinzanu wetu ya kwamba
" Tujitaidi hadi kufika january tusizidiwe kwa gape la pointi 4-6 na waliojuu yetu kwa kua Inaonekana January ndo rasmi tutakua tunaanza ligi na sababu alizitoa ila humu siioni iyo coment ileteni basi tuijadili pia au mnatafuta baadhi baadhi tu..