Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

maajabu ya arsenal wanasema wapo one form hafu city kapoteana lakini je wajua? man city akishinda kiporo chake anapanda mpka nafasi ya 2 na timu iliyo kwenye form inakuwa ya 3
20230628_182739.jpg
 
Kwa kipindi hicho arsenal ilikuwa ovyo sana ukilinganisha na sasa. Pia kuna improvement kubwa sana kwenye hizo gem za pressure kama ulivyosema. Mechi ya leo na ile ya Villa ni wachezaji tu kutotumia nafasi lkn nafasi za wazi zilipatikana. Timu imecheza vizuri basi tu ni matokeo ya mpira ndo yalivyo. Ukiondoa kona chache walizopata West ham walifika langoni kwetu mara 2 tu na hizo mbili moja wakafunga na nyingine wakakosa penati
Kuanzia msimu wa juzi mechi ya mwishi ya msimu tumeshinda goli 5.

Why?

Hatuna pressure. Tunacheza smooth.

Ni kweli tumeimprove tukifananisha lakini kwanini inapotokea kwamba sasa hapa kinachohitajika ni ushindi timu nzima inacrumble? Nafasi zitakuja wakuscore hayupo.
 
Kuna game tunahitaji ushindi Pepe akamkaba mtu akala red.

Xhaka anaruka tikitaka anatua kwenye mbavu ya mtu anakula red.

Kati ya game tulizotakiwa kushinda kati ya hizo tatu mbili tulianza kuongoza kwa goli 2.

Yaani timu yetu ni haiwezi kudeal na pressure. Kuanzia mwaka juzi ilikua tukitolewa shindano fulani baadhi ya mashabiki utaona wanasema bora tumetoka huko ili tufocus zaidi huku.

Mimi hua nawauliza ikiwa wanadhani tumetolewa kwakua sisi lengo letu ni kufocus na sehemu fulani pekee. Coz utanotice hua tunatolewa pale inapokua game ni ya pressure, tushatolewa hadi na timu za championship.

Mfano ingekua leo tupo nafasi ya kwanza na tuna points ambazo wa chini yetu hawazifikii hata wakishinda mechi zao hii game tungeshinda vizuri tu.
Mi binafsi hii Arsenal imenishinda, sijui tatizo ni nini?
 
Arteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions league nakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football ️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
Arteta mjinga mjinga hivi.
 
Na kocha mjinga, miaka 4 yupo Arsenal unajenga nini sasa. Maana kila kitu anapewa. Niliwahi sema humu ubingwa unatutafuta ila tutaunyea.
Arteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.
 
Tunahitaji Foward lazima, Jesus bado anakosa nafasi za wazi.

West Ham Game plan yao imefanya kazi leo.Tulikosa namna ya kufungua beki zao.

Beki zilifunguka nafasi zikapatikana. Sema umakini tu wa kufunga, ama muda mwingine namna ya kutaka kufunga magoli imeigharimu timu.
 
Arteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.
Lini utaisha huo ujenzi
 
Mzee kama kuna kitu hakina dhamana dunia hii bas ni nyie Arsenal ni No1 kwa Sbb team mliyo nayo ni ya kupigia porojo tu lkn sio kunyanyua ndoo za nzito za wanaume wa kazi.

Basi Arsenal ni timu shindani. Kama unaiona haina uwezo hata hapo ilipo isingekuwepo. Tuwape heshima yao na tusubirie nin kitatokea. 19 play to go, tofauti ya point 2 na anayeongoza.

Hao unaowaona ni hatari wamefanya nin mbele ya Arsenal? Tuheshimu kazi za watu, sio kupiga porojo tu humu.

Tukutane May kufanya review ya msimu.
 
Arteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.
Average coach with average players.
 
Nitakua wa mwisho kuamini Arsenal hii inaweza kubeba EPL mbele ya City/Liverpool au kufika robo UEFA

Arsenal ni Ile Ile miaka nenda miaka rudi

Bakia huko huko, takwimu hazidanganyi ubora walionao Arsenal. Nyie plastic fans wala hamtupi shida.
 
Back
Top Bottom