allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
mdomo unawaponza sana aiseMoto aliopelekewa westham wanatamani like goal la kupewa lingekataliwa tu
Kipindi Cha pili tunaingia na full attack strikes

mdomo unawaponza sana aiseMoto aliopelekewa westham wanatamani like goal la kupewa lingekataliwa tu
Kipindi Cha pili tunaingia na full attack strikes

Uhuru wa kujieleza ni muhimu tuvumilianeSema wewe jamaa utakuwa unavuta bangi siyo bure
Kijana mbona umepaniki?nakuona kila kwenye comment unajibuKama Arsenal haiwezi kubadilika basi badilika wewe




Kuanzia msimu wa juzi mechi ya mwishi ya msimu tumeshinda goli 5.Kwa kipindi hicho arsenal ilikuwa ovyo sana ukilinganisha na sasa. Pia kuna improvement kubwa sana kwenye hizo gem za pressure kama ulivyosema. Mechi ya leo na ile ya Villa ni wachezaji tu kutotumia nafasi lkn nafasi za wazi zilipatikana. Timu imecheza vizuri basi tu ni matokeo ya mpira ndo yalivyo. Ukiondoa kona chache walizopata West ham walifika langoni kwetu mara 2 tu na hizo mbili moja wakafunga na nyingine wakakosa penati
Mi binafsi hii Arsenal imenishinda, sijui tatizo ni nini?Kuna game tunahitaji ushindi Pepe akamkaba mtu akala red.
Xhaka anaruka tikitaka anatua kwenye mbavu ya mtu anakula red.
Kati ya game tulizotakiwa kushinda kati ya hizo tatu mbili tulianza kuongoza kwa goli 2.
Yaani timu yetu ni haiwezi kudeal na pressure. Kuanzia mwaka juzi ilikua tukitolewa shindano fulani baadhi ya mashabiki utaona wanasema bora tumetoka huko ili tufocus zaidi huku.
Mimi hua nawauliza ikiwa wanadhani tumetolewa kwakua sisi lengo letu ni kufocus na sehemu fulani pekee. Coz utanotice hua tunatolewa pale inapokua game ni ya pressure, tushatolewa hadi na timu za championship.
Mfano ingekua leo tupo nafasi ya kwanza na tuna points ambazo wa chini yetu hawazifikii hata wakishinda mechi zao hii game tungeshinda vizuri tu.
Arteta mjinga mjinga hivi.Arteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions leaguenakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football
️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
![]()
Arteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.Na kocha mjinga, miaka 4 yupo Arsenal unajenga nini sasa. Maana kila kitu anapewa. Niliwahi sema humu ubingwa unatutafuta ila tutaunyea.
Tunahitaji Foward lazima, Jesus bado anakosa nafasi za wazi.
West Ham Game plan yao imefanya kazi leo.Tulikosa namna ya kufungua beki zao.
Akinywa chai atatulia.Huyu anayejiita Msurunje katokea wapi tena 😂😂😂
Naona kila comment anajibu yeye 😂😂
Halafu mbona kama hataki wengine waandike chochote hapa 😂
Lini utaisha huo ujenziArteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.

Mzee kama kuna kitu hakina dhamana dunia hii bas ni nyie Arsenal ni No1 kwa Sbb team mliyo nayo ni ya kupigia porojo tu lkn sio kunyanyua ndoo za nzito za wanaume wa kazi.
Average coach with average players.Arteta kafanya makubwa Arsenal halipo ikuta na mpaka Sasahivi ni vitu viwili tofauti,kichukua kombe ni suala la mda tu,hata Cloop wa Liverpool ilimchukua miaka 4 kuchukua ubingwa, Sasahivi Arteta kabakiza kiziba viraka tu kazi kubwa kaisha ifanya EPL hakuna timu inayokwenda kupambana na Arsenal inakwenda kizembezembe lazima ijiandae kwelikweli kitu ambacho kabla ya Arteta kuchukua timu kilikuwa amna,kujenga timu ya ushindani ni process pia inaitaji mda na uvumilivu kidogo.
League bado wakuu tusijikatie tamaa, kuna vitu vya kuboresha tuendelee kupambana.
#COYG
Nitakua wa mwisho kuamini Arsenal hii inaweza kubeba EPL mbele ya City/Liverpool au kufika robo UEFA
Arsenal ni Ile Ile miaka nenda miaka rudi