arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
KabisaNamkubali sana dogo, huyu angesaidiana na Saka
KabisaNamkubali sana dogo, huyu angesaidiana na Saka
Leo tuna shinda.. westham lazma wakubali kipigo
Nani huyo alisema hivyo? Mimi naona tumepoteza points zaidi ya 15. Nilitaka mpaka hapa tuwe tumewazidi maboya wanaotufukuzia (Livakuku, mamacita) kama points 10-12 😄😄😄Idea ilikua ni kuhakikisha hatuachwi zaidi ya point nne mpaka January na mtu wa kwanza.
Hii timu inaoverdeliver usiku na mchana kwa kikosi kiduchu. Westham wapo high on morale but so are we.
Ni naona kinyume. Game ni rahisi mno kwetu.Leo gemu sio nyepesi hata kidogo wana arsenal wenzangu
Tungoje 90mins uwanjani ila ushindi ni muhimu kwetu.Ni naona kinyume. Game ni rahisi mno kwetu.
Saa 5 na robo usiku.Arsenal wanacheza saa ngap Leo?
Kiungo na forward zetu bado hazijaclick vizuriNani huyo alisema hivyo? Mimi naona tumepoteza points zaidi ya 15. Nilitaka mpaka hapa tuwe tumewazidi maboya wanaotufukuzia (Livakuku, mamacita) kama points 10-12![]()
Tetesi ,Tena wanasema labda summerHizi habari za De Leigt zimekaaje?
Martinell anakosa LB waku overlap ili aingie ndaniKuna haja ya Arteta kutengeneza mfumo wa kumfanya Martinelli asogee karibu zaidi na goli ili aweze kushootView attachment 2855804
Arsenal akiwa Emirates anakuwa wa moto sanaNi naona kinyume. Game ni rahisi mno kwetu.
Tumewafundisha namna ya kumfunga Luton na Villa na pia tumewaweka walau nafasi ya 1 na ya 2 katika msimamo wa ligi kwa vipindi tofauti tofauti,lakini bado mnatuita nyumba!
Huwa nawashangaa sana Hopers mnavyomuona 10Hag kilaza wakati mfupa unaomshinda tactician ARTETA yeye anauvunja kwa kutumia wachezaji wa academy yetu.
Ukimsogeza karibu kwa zinchenko kilio😂😂...Kuna haja ya Arteta kutengeneza mfumo wa kumfanya Martinelli asogee karibu zaidi na goli ili aweze kushootView attachment 2855804