Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kimahesabu inatakiwa tushinde kuanzia 3 bila kufungwa kwenda juu, ni timu chache sana zinaweza kutana na takwa hilo na likatimia.

Man City.

Sisi kushindwa himili presha imekua kama sehemu ya DNA, tuliwahi shindwa kwenda Europa kwa kukosa points 3 kwenye mechi tano. Mechi serious utashangaa mwingine anapata red mwingine anaanzisha ugomvi n.k.

Msimu uliopita ilitakiwa tushinde mechi mbili kati ya tatu zote tukasuluhu.

Mentally bado hatupo sawa sana.
Hivi akili umezitolea wapi?humu members wengi sana umewashinda kwa IQ wengi they don't know football wanaendeshwa na hisia Arsenal ni ile ile akili kisoda since 2005
 
Arteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.

Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.

Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.

Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.

Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
wengi watakupinga artita n dalali
IMG_20231229_003729_990.jpg
 
Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.

Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.

Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.

Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.

Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.

Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.

Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.

Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.

Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.

January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.

Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.
Nilishaandika hapa, wakupinga waendelee. Hakuna future na timu lonyolonyo kama hii.
 
Arteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.

Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.

Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.

Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.

Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
 
Back
Top Bottom