Paz3i
JF-Expert Member
- Oct 11, 2014
- 1,034
- 1,521
🤩 artitaWestham wataondoka Kama walivyokuja
Points 3 zinabaki Emirates
Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi
🤩 artitaWestham wataondoka Kama walivyokuja
Points 3 zinabaki Emirates
Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi
Trossad saka odegard Jesus martinelTrossars ata tuokoa
Huyu huyu trosard au ana pacha wakeTrossad saka odegard Jesus martinel
Hawa watakuja kivingine kipindi Cha pili, trust me
Arteta amekua muoga sanaImefika wakati arteta ampe nafasi smith rowe sasa huyu trossard sasa amekua ana kausenge hivi....martineli anahitaji a lot of counseling ni kama hajiamini aisee....
Huyu huyu mkuuHuyu huyu trosard au ana pacha wake
Twende taratibu kiongozi. Unasema???Arteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.
Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.
Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.
Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.
Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
Ndo dkk ya 60 mkuu.Dakika ya 60
Toa Martinell ingiza Nelson mapema sana,
Toa Trousard ingiza Smith rowe mapema sana uone moto tutakaowapelekea hawa jamaa
Kwamba umesema???Westham wataondoka Kama walivyokuja
Points 3 zinabaki Emirates
Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi
Ni kweli mkuu tunaona mlivo na FULL ATTACK STRIKESMoto aliopelekewa westham wanatamani like goal la kupewa lingekataliwa tu
Kipindi Cha pili tunaingia na full attack strikes

