Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Westham wataondoka Kama walivyokuja

Points 3 zinabaki Emirates

Kipindi Cha pili, kila ukatili unao ujua wewe ndio watakaofanyiwa hawa wapuuzi
🤩 artita
Screenshot_20231228-234702.jpg
 
Dakika ya 60

Toa Martinell ingiza Nelson mapema sana,

Toa Trousard ingiza Smith rowe mapema sana uone moto tutakaowapelekea hawa jamaa
 
Arteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.

Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.

Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.

Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.

Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
 
Arteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.

Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.

Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.

Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.

Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
Twende taratibu kiongozi. Unasema???
 
Back
Top Bottom