Wewe dogo grow up, ukiona nimeandika kitu jitahidi utafakari badala ya kuropoka.Wewe utakua unaumwa sio bure
Wanasema Epl ya kwao na Uefa wanacheza fainal WembleyMuwe watulivu. Kesho HAMISI na kundi lake watakuja kuwaonesha jinsi gani mmecheza vizuri vs West Ham. Chance mlizotengeneza n.k
Then mnaendelea kujipa moyo kwamba ligi mnaianza January then maisha yanaendele vizur kabisa.
Ligi bado mbichi sanaAm an arsenal fan ila bado sana arsenal kuwa na timu ya ushindani wa kibingwa....naanza kuelewa ufinyu wa ubora wa arteta he is a good coach ila the issue nae anaitumia arsenal kufika daraja la ubora...we dont need this kind of character aisee...tumestruggle for many years na hii timu ARSENAL deserves to win guys ...daah binafsi nmechoka sana kila sku tunajenga timu tu lkn haina ushindani...yani trust me liver hashikiki tena wana experienced coach halaf city akishinda kiporo tunalevel points nae ...haya kuna nn tena hapo
Temboo yuko kwenye baridi kileleni ha ha haaaaaaaUpo nafasi ya ngapi wewe kenge
Unaoneka Leo humu
Nguvu zimehamia kwa MoyesARV zimeisha nguvu.
Sema wewe jamaa utakuwa unavuta bangi siyo bureArteta ni takataka, anapaswa aondolewe arsenal. Timu inacheza mpira usiokuwa wa ushindani. Vipasi vingi, spidi ndogo na hakuna matokeo.
Timu zote zinazopaki basi na kupiga counter zinamsumbua kila siku. Hana jipya aende zake chap kwa maslahi mapana ya timu yetu.
Tena aondoke na hawa wachezaji laini akina Odegaard, Zinchenko, Gabriel Jesus na Kai. Hawa wanatupotezea muda, hawana output za mashindano makubwa.
Apotelee mbali na takataka kama Nelson, Nketiah, Jorginho, Ramsdale, Vieira, Rowe, Partey (trip shamba trip garage), Elneny, Soares nk.
Akina Martinelli, Trossard, Saka, Rice, Saliba, Magalhaes, Kiwior, Raya, White, Timber na Tomiyasu wanahitaji mwalimu mwenye akili ya ushindi, watafanya maajabu.
Kama Arsenal haiwezi kubadilika basi badilika weweSo Arteta told Arsenal fans kujaa uwanjani means ni final game ya 2023 kumbe uchoko ndio huu OK nazima Television Arsenal haiwezi kubadilika abadani ni ile ile tu differ ni miaka tu
Sasa mnasubili nini kuhamia kwa pep!!!??Sahihi Mkuu, possession Football imebaki kwa Pep tu ndio inayomlipa kwa Makocha wengine ni Kujidanganya tu.
Hamjasema badoAm an arsenal fan ila bado sana arsenal kuwa na timu ya ushindani wa kibingwa....naanza kuelewa ufinyu wa ubora wa arteta he is a good coach ila the issue nae anaitumia arsenal kufika daraja la ubora...we dont need this kind of character aisee...tumestruggle for many years na hii timu ARSENAL deserves to win guys ...daah binafsi nmechoka sana kila sku tunajenga timu tu lkn haina ushindani...yani trust me liver hashikiki tena wana experienced coach halaf city akishinda kiporo tunalevel points nae ...haya kuna nn tena hapo