Spurs simsemei sana kocha wao mzuri unayemtaja hapa alikua Brighton, akafananishwa na Arteta, kilichofuata tunakijua.
Kwa kawaida timu ikiwa na beki mbovu mchezo wao hua ni kujitahidi kufunga sana, refer kwa Barcelona, itashinda 5 - 3, au 4 - 3.
Nyinyi shida haikua defense, shida ni mpaka kwa forward. Enzo alikua AM sijui ni mechi zipi Pedro akawa AM badala ya Enzo. Juzi nimeona mashabiki wa Chelsea wanauliza "Ni muda umefika tukubali ukweli Palmer ni one season wonder?"
It's nice kwamba miongoni mwenu mnajiuliza mumchukulieje huyo jamaa.
Arsenal, tushakutana na Chelsea ambayo mashabiki mliita strong na Arsenal tukakubali kwamba kweli hii ni strong. Ilikua ni first game na lukaku yumo, mna kocha experienced, Tuchel. Nyinyi hamtakua na kikosi kama kile kwa hivi karibuni.
Labda mgombee top six, ila kwamba ndiyo mchukue kombe siyo leo