Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Mkuu ww hata kuota tu iyo ndoto ni kama unakosea heshima ndoto.Nimeamini Arsenal kuchukua ubingwa ni ndoto rasmi nimeamka kutoka ndotoni
Arsenal hata wawe wanaongoza ligi kwa point 12 na zimebak game 6 tu ww jua ligo bado kwao kubeba haiwezekani.. Tunawaambiaga humu wanaona tunafanya utan.
Hawa wakiwa pale juu ww hata usiwe na hofu jua ti watashuka ni swala la Mda.
ndiio mnaonge shit zote hizi hahah