Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimeamini Arsenal kuchukua ubingwa ni ndoto rasmi nimeamka kutoka ndotoni
Mkuu ww hata kuota tu iyo ndoto ni kama unakosea heshima ndoto.

Arsenal hata wawe wanaongoza ligi kwa point 12 na zimebak game 6 tu ww jua ligo bado kwao kubeba haiwezekani.. Tunawaambiaga humu wanaona tunafanya utan.

Hawa wakiwa pale juu ww hata usiwe na hofu jua ti watashuka ni swala la Mda.
 
Punda nyieeeeeeeee
Screenshot_20231229_011232_All%20Goals.jpg
 
Kaeni kimya watoto mkiona kaka zenu tumeandika hapa jukwaani. Nimeangalia mpira tangu 1990, arsenal hatuna timu ya kubeba chochote.

Complete players ni wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni low to average squad players.
Baad ya kufungwa ndiio mnaonge shit zote hizi hahah
 
Tuwape credit Westham, wamejua kuzuia sana yaani pamoja na kumiliki mpira asilimia zaidi ya 80 lakini waliweza kuzuia mashambulizi yetu kwa kuwabana zaidi wachezaji wetu tegemeo
Usiwape credit Westham ili kuficha ujinga wenu. Sema tu viungo wenu hawana ubunifu na forward yenu butu.
 
Am an arsenal fan ila bado sana arsenal kuwa na timu ya ushindani wa kibingwa....naanza kuelewa ufinyu wa ubora wa arteta he is a good coach ila the issue nae anaitumia arsenal kufika daraja la ubora...we dont need this kind of character aisee...tumestruggle for many years na hii timu ARSENAL deserves to win guys ...daah binafsi nmechoka sana kila sku tunajenga timu tu lkn haina ushindani...yani trust me liver hashikiki tena wana experienced coach halaf city akishinda kiporo tunalevel points nae ...haya kuna nn tena hapo
 
Am an arsenal fan ila bado sana arsenal kuwa na timu ya ushindani wa kibingwa....naanza kuelewa ufinyu wa ubora wa arteta he is a good coach ila the issue nae anaitumia arsenal kufika daraja la ubora...we dont need this kind of character aisee...tumestruggle for many years na hii timu ARSENAL deserves to win guys ...daah binafsi nmechoka sana kila sku tunajenga timu tu lkn haina ushindani...yani trust me liver hashikiki tena wana experienced coach halaf city akishinda kiporo tunalevel points nae ...haya kuna nn tena hapo
Mzee kama kuna kitu hakina dhamana dunia hii bas ni nyie Arsenal ni No1 kwa Sbb team mliyo nayo ni ya kupigia porojo tu lkn sio kunyanyua ndoo za nzito za wanaume wa kazi.
 
Back
Top Bottom