Rugby hiyoView attachment 2601290
Lete manenos
Squad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.
Huyu jamaa kachangia kwa kiasi kikubwa sana arsenyani tusiwapumzishe kupokea mashambulizi hapa ndani mdomo na kejeri zilikuwa nyingi.Unakuta kabisa lishabiki linatutishia eti mna gemu ngumu anamuweka Newcastle
Huwa nacheka Sana ,
Sana mkuu wameongoza ligi msimu mzima wanataka kuachia mwishoni.Ila nyumbu ni wajinga sana
Mliambiwa hapa mkawa wabishi matusi na kejeri zilikuwa zenu."Nacheka lakini naogopa."
Arsenyani acheni kuota, hamna uwezo wa kumfunga City Etihad. Ubingwa toeni kabisa kwenye mawazo yenu maana huu ndiyo muda wa Pep kufanya vitu vyake.
Haaland kiatu.
Arsenyani kondoo.
Ila wewe jamaa hamis77 ni kiazi sana umewaponza wenzio kwa maneno yako hafu umekimbia hapaHuyu city aliyecheza Kama manjesta pale emirate
Tutamfanya hamna hapo kwake
Uzuri kimahesabu tunahitaji draw 2 tu ,Moja against yeye city
Nyingine na kiande yeyote
Uwezo tunao Nia tunayo
Kiukweli mechi vs Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa inatuumiza kichwa
Hawa wengine Wana mpira gani wakutushambulia Sana
Mtu anakaa kabisa anasema mna mech ngumu na Newcastle, Chelsea ,
Eeh mkuu ikawaje baada ya hapoHii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa
Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender
Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw
Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki
Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Sawa sawaBaada ya kupoteza Vs City tumepiga WIN 7 DRAW 1
Kesho tunaanza Tena WIN 7 DRAW 2
Halafu mtaniambia Huyo bwana wenu city atabebea wapi huo UBINGWA
Leicester ka create xG kubwa kuliko city
Big chances kuliko city
Wangekuwa makini wangeshinda au Sare
Mashabiki wengi hasa manjesta na baadhi wa chelkenge wanatupigia kelele humu ,mpira hawaangalii
Huyu city bwana wenu tutamtafuna vzr Sana ,
Narudia tunahitaji draw 2 tu katika mechi tulizobakiza ,hiyo Ni minimum tu
View attachment 2589074
Tupe mrejesho mkuu ikawajeEti wanasema hatujacheza na man city, kwani huyo man city amecheza na sisi....?
Atapigwa tu...
A London derby awaits
Arsenal play today and the whole worldis happy
West ham
16:00
London stadium
Primier league
YaGunnersYaView attachment 2589566
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki
Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo
Jana ziligawia pipi pale kati
Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard
Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)
Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi
Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi
Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Enhe na wewe yuza umefika wapi na mwenge wako mbona kijijini kwetu hatujauona.
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝My remaining fixture prediction
👇
Arsenal 4-1 Westham
Arsenal 4-0 Southampton
Arsenal 2-2 Man City
Arsenal 3-0 Chelsea
Arsenal 2- 1 Newcastle
Arsenal 2-1 Brighton
Arsenal 3- 0 N.Forest
Arsenal 4-0 Wolves
Na kwa nini utumie matusi mkuu?Kuna boya wa Arsenal baada ya kipigo ameamua kunishtaki kwa uongozi wa JF kisa natumia neno AssAnal
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝My remaining fixture prediction
👇
Arsenal 4-1 Westham
Arsenal 4-0 Southampton
Arsenal 2-2 Man City
Arsenal 3-0 Chelsea
Arsenal 2- 1 Newcastle
Arsenal 2-1 Brighton
Arsenal 3- 0 N.Forest
Arsenal 4-0 Wolves
Yes, we're title contender. Au kwako timu kuwa title contender unaelewaje?TAITO KUNITENDA
Yan huyu jamaa ukikuta kwny majukwaa ya wenzie anavoielezea Arsenal.. Kama ww hauangalii mpr unaweza dhan anaongelea team ambayo ni htr sana kuwah kutokea kwny uso wa dunia.
Saivi aliko huyu jamaa hamis77 ni Mungu pekee na cabinet yake ndo wanajua na wanaweza kumpata na kumtoa huko.
Kama Team tumekuwa kimalengo,mwakani ndio ingekuwa kipindi chetu cha kugombea ubingwa,ila mwka huu tumejaribu kupigania ubingwa. kwa miaka saba ataja shiriki klabu bingwa leo kurudi ni mafanikio makubwa sana.walichotuzid man city sio ubora wa mbinu za kocha ila quality ya mchezaji mmoja mmoja na squad depth,ukweli kusema hata xhaka sio first team player,pale man city kuna kipindi hata ruben diaz alikuwa anakaa benchi maana yake anapumzika kikija kipindi ambacho season imekolea ndio wanarud wanakuwa na nguvu zaidi.arsenal hatuna nguvu ya kumweka mchezaji benchi aliyetoka kupiga hart trick kama mahrez.ni Kweli kwamba ARTETA anachangamoto zake kama vile kukariri wachezaji kwenye position fulan hata kama game inakataa(na hisi hii kaitoa kwa wenger) ila bado ni kocha zaidi kuifikisha arsenal kuchukua eplThat's why hatusongi mbele reason ni kuwa na die hard fans wwnye small mentality kama hizi ,hii kauli ilikuwa inanichekesha sanahamis77 Will Jr ndio kauli zao hizi leo Manchester City ametukojolea je Arteta anatosha kwenye position yake?reason kwenye game za pressure mean 8 za kumaliza round na kuwa winner katika last 4 games kapata 3 points pekee