Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu yoyote ile ingekua position tuliopo sisi ingechukua ubingwa hata Nottingham forest . You are top of the table , unacheza na liverpool mbovu ndani ya dk30 unaongozaa 2 :0 , unacheza na westham inayopambana kutoshuka daraja ndani ya dk 15 unaongoza 2:0 na cha msingi zaidii unataka kuwa bingwa confidence ipo ya kutosha maana tayari unaongoza na upo on the top of the table , umepumzika vya kutosha maana upo only kwenye epl unacheza sunday to sunday ila wapinzani wako walikua na gemu katikati ya week. Hata mungu mwenyewe anashangaa hawa arsenal niwape nini sasa maana favorable conditions zote zipo kwetu lakini at the end tumechoma game zote 2.

Inanikumbusha 2016 welbeck anafunga goli la kichwa dk ya mwisho kabisa vs Leicester tunarudiii kwenye title race na hope kubwa kilichofuata kilikuwa kituko game inayofuata ikawa j5 tukapigwa na swansea rasmi ndoto za ubingwa zikazikwa !! The arsenal way!!

The arsenal way will always be a false hope!!! Maana technically mpaka saivii man city wapo 2 points ahead of us!!
ITS ALL OVER FANS INABIDI TUKUBALIIIII. ITS OVER
 
Wazee wa Aseno ndoo haland kiatu wanatoa maoni gani kuhusu game ya jana?
Tumpe muda arteta ataleta makombe mengi sana the Ganaz
 
Carabao cup out
We don't want small trophy,, we want FA, Europa league and premier league.

FA cup out
Fa not a must to us coz we have won plenty of them,, tunataka Europa league na premier league

Europa league out
Arteta is very intelligent,, he want to focus on winning the premier league and that's the main aim

Premier league now complicated
Our main aim was to play champions league next season ,, we want to focus on top 4...

Yaani naskia raha ndani ya roho
 
Timu yoyote ile ingekua position tuliopo sisi ingechukua ubingwa hata Nottingham forest . You are top of the table , unacheza na liverpool mbovu ndani ya dk30 unaongozaa 2 :0 , unacheza na westham inayopambana kutoshuka daraja ndani ya dk 15 unaongoza 2:0 na cha msingi zaidii unataka kuwa bingwa confidence ipo ya kutosha maana tayari unaongoza na upo on the top of the table , umepumzika vya kutosha maana upo only kwenye epl unacheza sunday to sunday ila wapinzani wako walikua na gemu katikati ya week. Hata mungu mwenyewe anashangaa hawa arsenal niwape nini sasa maana favorable conditions zote zipo kwetu lakini at the end tumechoma game zote 2.

Inanikumbusha 2016 welbeck anafunga goli la kichwa dk ya mwisho kabisa vs Leicester tunarudiii kwenye title race na hope kubwa kilichofuata kilikuwa kituko game inayofuata ikawa j5 tukapigwa na swansea rasmi ndoto za ubingwa zikazikwa !! The arsenal way!!

The arsenal way will always be a false hope!!! Maana technically mpaka saivii man city wapo 2 points ahead of us!!
ITS ALL OVER FANS INABIDI TUKUBALIIIII. ITS OVER
Mataito kontendaz😂😂wewe siye wale wananzengo wa aseno ndoo halaand kiatu?!
 
Ni kweli unavyosema ila kwa sasa no excuse katolewa FA ,Carabao na Europa league tuachage mentality za kinyonge ndizo miaka nenda rudi nyuma hatuna Big trophies kama EPL ,mpinzani wake yupo Champions league, FA ,sisi tuna EPL pekee why tuone second place ni sehemu ya kuridhika na still tupo top hadi sasa?kwa sasa tulipo tukishindwa kubeba EPL na still 9 games zimebaki itakuwa ni tumefeli vibaya mno angalau hata tungeshika nafasi ya 3, kuliko mwaka mzima tuwe namba 1 then tumalize second place without FA,Carabao au Europa league medal !
Inauma sana
 
Wakati tupo kwenye tittle race na liverpool, liverpool ambayo ilikua haidondoshi point hovyo kama nyie, liverpool ambayo ilikuwa na wachezaji ambao wapo matured enough na wanaweza kucheza na kupata matokeo under pressure, akija pale etihad hajawahi kupata pointi 3.

Leo arsenal yenye wachezaji ambao hawawezi kuhimili pressure na wengi hawajiamini ndio mnataka mje kumpiga city ETIHAD?!!
Mpira unadunda ila kwa stages kama hizi, City huwa ni winning machine na wote ni mashahidi, liverpool walikua tishio kuliko nyie lakini waulizeni walivyobaki ulimi nje, point 1 tu iliwashinda kurecover.

Lakini sio mbaya mkipeana matumaini.
Nawasubiri Etihad mniletee kombe langu in pep's voice.
Tukiwaambia hawaamini
Watacheza hadi watenguke viuno ila probability ya kushinda Etihad ni sifuri.
 
Watasubiri hadi Yesu anarudi ndipo washinde kombe. Hivi City wanaotarajia kwenda kufufukia kwao ni wale waliowatwanga Bayern kama mbwa mwizi au ni City wa Manzese? Endeeni kujifaraji nyie nyang'au! You never know until you know. Mavie nyie, mbwer Coco! 😀 😀 😀 😀 😀
 
Mimi Liver nimepambana sanaaa na City mpk ikawa inafika hatua point ni 98 kwa 96 nyie kuku mnakuja kibwege et mpambane nae
Kwa taarifa yenu City huwa mechi kumi za mwisho anashida zote na hapo ndo alikuwa anatuachia Liver
Sasa nyie kuku mechi za mwisho zimewashinda mbio ni ukingon sio mwanzon
 
Back
Top Bottom