YameanzaKwa hizi kosa kosa ndiyo goli moja likiingia linafungulia bomba mengine
Ndiyo ujue manjesta ni nyumbu watupu.Ila mashabiki wa united ni wajinga.
Yaani mtu anashangilia ushindi kwenye hili jukwaa ambao hata sisi hautuathiri kwa chochiote.
Ni kweli unavyosema ila kwa sasa no excuse katolewa FA ,Carabao na Europa league tuachage mentality za kinyonge ndizo miaka nenda rudi nyuma hatuna Big trophies kama EPL ,mpinzani wake yupo ChampionsMpaka hapa simdai Arteta. Naona kama ame overachieve kulingana na misimu iliyopita. Hata tukiwa wa pili siyo wengi watachukizwa.
Hata hivyo, ingali nafasi ya kwanza ipo up for grabs, why not grab it tunyanyue kwapa tutambe mtaani
league, FA ,sisi tuna EPL pekee why tuone second place ni sehemu ya kuridhika na still tupo top hadi sasa?kwa sasa tulipo tukishindwa kubeba EPL na still 9 games zimebaki itakuwa ni tumefeli vibaya mno angalau hata tungeshika nafasi ya 3, kuliko mwaka mzima tuwe namba 1 then tumalize second place without FA,Carabao au Europa league medal
!Nafasi ya pili!!!???Mpaka hapa simdai Arteta. Naona kama ame overachieve kulingana na misimu iliyopita. Hata tukiwa wa pili siyo wengi watachukizwa.
Hata hivyo, ingali nafasi ya kwanza ipo up for grabs, why not grab it tunyanyue kwapa tutambe mtaani
Mentality za 'We will try again next year' ni za kimiyeyusho I hope wachezaji na bodi wamevua hiyo na wamebaki nazo mashabiki wachacheNi kweli unavyosema ila kwa sasa no excuse katolewa FA ,Carabao na Europa league tuachage mentality za kinyonge ndizo miaka nenda rudi nyuma hatuna Big trophies kama EPL ,mpinzani wake yupo Championsleague, FA ,sisi tuna EPL pekee why tuone second place ni sehemu ya kuridhika na still tupo top hadi sasa?kwa sasa tulipo tukishindwa kubeba EPL na still 9 games zimebaki itakuwa ni tumefeli vibaya mno angalau hata tungeshika nafasi ya 3, kuliko mwaka mzima tuwe namba 1 then tumalize second place without FA,Carabao au Europa league medal
!
Hawa nyumbu siku timu yao ikifungwa hawaonekani online!Kengeeeee mpoooooView attachment 2580971
Arsenal tuna average ya 24-25, so tuna uwezo wa kupigania Titles kwa misimu 4-5 mfululizoNapoli inayotisha msimu huu umri wa wachezaji wake ni umri ambao wachezaji wa Liva walikua nao kwa wingi wao.
Kwa maoni yangu kwakua Seria A ni ligi ina vilabu havina pesa sana kuna uwezekano Napoli isisajili elite players au hata ikajikuta imeachia players hivyo Napoli msimu ujao asiposajili akaamua kwenda na kikosi hichi hichi hatochukua kombe.
Akileta ubishi akaenda nacho msimu wa kesho kutwa basi kitampata kinachompata Liva. Arsenal ina wachezaji wenye umri wa kutosha kuwepo kwa misimu mitatu minne mbele.
What am saying is ninaamini Arsenal bado tuna title shot msimu ujao
Mashabiki wachache ndio bado wanahofuMentality za 'We will try again next year' ni za kimiyeyusho I hope wachezaji na bodi wamevua hiyo na wamebaki nazo mashabiki wachache
] Nathan Aké:Kumbe washamjulia😀[] Nathan Aké:
“It’s tough against this player [Bukayo Saka]…”
“I watched his games. If you give Saka too much space he can just run at you with pace and you’re in trouble. When the ball gets switched to Saka, I try to go as tight as quickly as possible with him so he has less space to do his actions in…”
“With Saka it’s very difficult because he likes to go inside, but if you close the inside off, he’ll go outside and cross. He can go both ways. It’s very tough.” #ManCity
[@TimesSport]
View attachment 2581102
Bado ,Kama umemsoma vzr hapo Ake anakwambia ukimzibia Space ,atapiga pass au Kross bado unakuwa matatizoni,Kumbe washamjulia![]()
FACT tupo nafasi ya 1 for almost season nzima then tumalize second place without FA,Carabao cup au Europa medalMentality za 'We will try again next year' ni za kimiyeyusho I hope wachezaji na bodi wamevua hiyo na wamebaki nazo mashabiki wachache
then tuone tumeachive kitu no way kwa sasa EPL ni lazima