Hii mechi niliisubiri kwa hamu kubwa.J5 dhidi ya city.
Unafikiri natakiwa kuogopa?

next season is yoursAliyezingua kipa kawatoa wenzake mchezoniNimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii
Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki
Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing
Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi
Arsenal NDOO
Haaland KIATU






Nimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii
Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki
Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing
Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Hizi tunaziita Imani mfu.Arsenal akikosa NDOO niulizwe mimi
Katika mechi zilizobaki kwa city Kuna atakazo win, draw na zingine kupoteza kabisa
SOMA TENA![]()



Yeah huyu city tutaanza wenyewe kumfungia bustaWe can overturn the table against City; who thought soton would secure a point at emirates
Trossard angeanza ungemtoa Nani kule mbele?...ni vile Tu ameanza na viungo watatu alivyoona kachemka ndo akaua kiungo (sub ya trossard). Ila vinginevyo huwez ukamwacha nje martinelli, Saka, wala Jesus.Kwann Trosard hakuanza