adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,486
- 33,534
Uliwaonya wakati uke hawakusikia.Fixtures za Arsenyani hizi hapa. Wagonga Nyundo na Watakatifu washafanya kazi yao. Kituo kinachofuata ni Emirates kwa Wananchi.
Uliwaonya wakati uke hawakusikia.Fixtures za Arsenyani hizi hapa. Wagonga Nyundo na Watakatifu washafanya kazi yao. Kituo kinachofuata ni Emirates kwa Wananchi.
Hapa hamna kujitetea 🤣 nyinyi ni miyeyushoUnajua tokea uje na kauli mbiu ya nyumbu ni wajinga, timu yako haijapata matokeo ya ushindi
Shida siyo yeye kutoshinda zote wala sisi kushinda zote.Nimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii
Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki
Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing
Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi
Arsenal NDOO
Haaland KIATU






kuna umuhimu wa ben white kurudishwa katikati badala ya kuendelea kumtumia rob holding?Kuna magoli tunaconcede ambayo hayasemi kua tunataka kushindana. Goli la kwanza na la pili
Binafsi hata mimi kutoka dhati ya moyo wangu nilitamani Man City asichukue ubingwa. Ila ndio ivyo tuliyemuamini anakula za uso daily na hana uwezo wa kum challange kipara kwenye mbio za ubingwa.Roho inaniuma balaa Kiparangoto kubeba EPL mara 3 mfululizo, lakini Arsepimbi nao ni wabovu kuliko hata timu ya mchangani toka Mchambawima, unadhani nitaendelea kukaza fuvu kushabikia Arsenal au Mwa-City kishingo upande?![]()