Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia nzi wamevamia hili jukwaa


Ubingwa TUNABEBA

NYUMBU wanaenda Europa League
 
IMG_6163.jpg

Ilikuwa mwezi wa 4 mwaka jana naona historia itajiludia
Shabiki wa Southampton toka sijazaliwa
Arsexual arsenyeto mkipata hata kona 3 nipo pale
Arteta kichwa govi red Card
 
Granit Xhaka is NOT with the Arsenal squad. [@precbrown95] #afc
 
Zinny karudi

Xhaka hayupo na kikosi

Jana alikuwepo mazoezin ,huenda small issue au illnes


Nafasi yake atachukua Vieira
 
Nimemaliza kufuturu sasa nimetupia uzi wangu wa Arsenal naelekea banda umiza kuangalia mpira mzuri wa Arteta

Habari za nyumbu zimeishia kwa Sevilla
 
Nmeona habari hii leo ila sioni akija Arsenal ya mshahara uo anaouitaj ili asaini pale Chelsea.
IMG_20230421_203240.jpg
 
Nimemaliza kufuturu sasa nimetupia uzi wangu wa Arsenal naelekea banda umiza kuangalia mpira mzuri wa Arteta

Habari za nyumbu zimeishia kwa Sevilla
Tatizo lako ni moja tu mkuu una tatizo la kujificha timu ikipata matokeo mabovu.

Unaitajika uchangie hapa hata kama timu inafanya vibaya wewe kazi kumkandia computerarsenal wakati wewe ndo shabiki maandazi upo hapa timu ikifanya vizuri tu.
 
Tatizo lako ni moja tu mkuu una tatizo la kujificha timu ikipata matokeo mabovu.

Unaitajika uchangie hapa hata kama timu inafanya vibaya wewe kazi kumkandia computerarsenal wakati wewe ndo shabiki maandazi upo hapa timu ikifanya vizuri tu.
Tofautisha kujificha na kuchangia matusi

Mm sio muumini wa matusi ,angalia comment za haters Ni matusi

Kule jukwaa la manjesta nawapa facts zinawaingia ,hata mkinitukana sijibu matusi

Sasa tofautisha kujibishana matusi na kuchambua mpira


Tunachofanya tunapisha Kwanza mmalize kutukana

Halafu Arsenal haijafungwa

Manjesta ndiye kalambwa 3-0
 
"Naipenda Arsenal nawaangalia sana kutokana na aina yao ya uchezaji, pia wana kikosi cha vijana wengi hatari na tishio, fikira zao kwa sasa kama timu wanaonesha kuhitaji mataji makubwa nitafurahi wakinisajili"

Caicedo
 
Tofautisha kujificha na kuchangia matusi

Mm sio muumini wa matusi ,angalia comment za haters Ni matusi

Kule jukwaa la manjesta nawapa facts zinawaingia ,hata mkinitukana sijibu matusi

Sasa tofautisha kujibishana matusi na kuchambua mpira


Tunachofanya tunapisha Kwanza mmalize kutukana

Halafu Arsenal haijafungwa

Manjesta ndiye kalambwa 3-0
Sasa mbona man u akifungwa unakuja kuchangia japo watu wanatukana lkn unakuja, so yanakuwa matusi pale timu yako inapofanya vby tu ila timu ya mwenzio ikifanya vby yanakuwa sio matusi? Ukweli ni kwamba una moyo mwepesi kutokana na wewe kuwa shabiki wa mpira na sio mpenzi wa mpira.
 
Back
Top Bottom