Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,128
- 4,859
Nilishakwambia nyani haoni kundule.Inaumiza sana mkuu, within a month tunadrop points nyingi kama hii gemu tutapoteza ni dhahiri ubingwa tushaukosa
Ulikua unasema man city atapoteza si chini ya point 5 nikakuuliza, wewe unaona point atakazopoteza city tu ila atakazopoteza arsenal huzioni?
Haya wewe 6 zimeshatembea wakati city haijulikani ni lini atapoteza hizo tano, naona sasa tutaongea lugha moja.
Man city ni bingwa wako hutaki kashabikie cricket.