Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,495
- 35,648
Arsexual Labda mtaambulia hela tu ya nafasi ya 2
Sawa sawaArsenal anashinda 4-2 nimekaa pale.











Pia ni mjinga Zaidi atakayeamini Arsenal atsshinda game zake zote zilizobaki...Nimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii
Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki
Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing
Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Poleni sana gunners wenzangu.
Binafsi nilishasema simdai Arteta chochote Kwa hapa alipofika.
Suala la ubingwa lilikuwa gumu tangu mwanzoni ila vijana wamejitahidi. Hata hivyo Arsenal wajilaumu wenyewe kwanza Kwa kuchezea fursa
Ila katika match atakazowin city yenu ni ya kwanza,Arsenal akikosa NDOO niulizwe mimi
Katika mechi zilizobaki kwa city Kuna atakazo win, draw na zingine kupoteza kabisa
SOMA TENA![]()
Mashabaki wa hii timu wana akili basi?kwako tu kakupa 3










Msikilize huyu pimbi"Naipenda Arsenal nawaangalia sana kutokana na aina yao ya uchezaji, pia wana kikosi cha vijana wengi hatari na tishio, fikira zao kwa sasa kama timu wanaonesha kuhitaji mataji makubwa nitafurahi wakinisajili"
Caicedo








Ona hili bunga zezeTutakapombonda bwana wenu City ujitokeze
Mmelambwa 3-0









Huyu kima mnamuelewa lknNasikia nzi wamevamia hili jukwaa
Ubingwa TUNABEBA
NYUMBU wanaenda Europa League







