Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

70b2a5f2-c77a-464f-9fda-0936e6184ad5.jpg

Arsexual Labda mtaambulia hela tu ya nafasi ya 2
 
Poleni sana gunners wenzangu.
Binafsi nilishasema simdai Arteta chochote Kwa hapa alipofika.
Suala la ubingwa lilikuwa gumu tangu mwanzoni ila vijana wamejitahidi. Hata hivyo Arsenal wajilaumu wenyewe kwanza Kwa kuchezea fursa
 
Nimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii

Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki

Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing

Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Pia ni mjinga Zaidi atakayeamini Arsenal atsshinda game zake zote zilizobaki...

J5 maji na mafuta vitajitenga tupo hapa.
 
Poleni sana gunners wenzangu.
Binafsi nilishasema simdai Arteta chochote Kwa hapa alipofika.
Suala la ubingwa lilikuwa gumu tangu mwanzoni ila vijana wamejitahidi. Hata hivyo Arsenal wajilaumu wenyewe kwanza Kwa kuchezea fursa
😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Arsenal akikosa NDOO niulizwe mimi

Katika mechi zilizobaki kwa city Kuna atakazo win, draw na zingine kupoteza kabisa
SOMA TENA
Ila katika match atakazowin city yenu ni ya kwanza,

Tottenham aliwahi kufanyiwa Roho mbaya na Chelsea kipindi kile Leicester anabeba. Mlondon mwenzake. Subirini hapo...

Hizi kelele zenu kuanzia katikati ya week mtakuwa kama mmefiwa...
 
Back
Top Bottom