Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
2016 alikimbizana na Leicester City pumzi ikakata leo ndio anataka kukimbizana na timu za Manchester ataweza kweliKipara anashukuru anakimbizana na hawa paka… hii nafasi aliyoipata Arsenal, ingekuwa Liverpool na kuyumba wa city asingemkuta Klopp hata kidgo.
Anguko la Arsenal wamelitaka wenyewe



Binaadam huwa wasahaulifu sana2016 alikimbizana na Leicester City pumzi ikakata leo ndio anataka kukimbizana na timu za Manchester ataweza kweli![]()
Kwahiyo Mkuu unataka Kipara ajitwalie ubingwa na Mwa-City ili avunje rekodi ya Sir Alex Ferguson straight EPL winning trophies au unamaanisha nini?Tokea ligi ianze hakuna siku nimefurahi kama leo, kuanzia kesho jukwaa litapoa sana hili.
Arsenyokondoo
Haaland kiatu.
SafiGAY team sisi ni blood fans wa Arsenal but today nasema Arsenal ni GAY teamGoodnight Guys







"Leo tulikuwa kwenye pressure"Tuna maadui wengi ila naamini huu msimu ni wetu arsenal
Asiyekubali kushindwa sio mpinzani Leo tulikuwa kwenye pressure kubwa sana kitendo kilichosababisha Kutokee kwa individual errors nyingi sana...
Jorginho ni baller ila hatutamfaidi sabb arteta anamwamini shaka sana
#COYG


















































































Abebe tu, lakini sio mipasho ya hawa mbwa na wale wa ManchesterKwahiyo Mkuu unataka Kipara ajitwalie ubingwa na Mwa-City ili avunje rekodi ya Sir Alex Ferguson straight EPL winning trophies au unamaanisha nini?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mara 1000 kipara atwae ubingwa kombe libaki hapahapa jijini Manchester, lakini sio hizi Kima za Arteta, kwanza zina midomo michafu mtaani tulikua hatuna amani, sasa hivi tutaanza kuishi kwa utulivu.Kwahiyo Mkuu unataka Kipara ajitwalie ubingwa na Mwa-City ili avunje rekodi ya Sir Alex Ferguson straight EPL winning trophies au unamaanisha nini?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mwenye uwezo ndie atabeba uwe unamtaka ama humtaki.Kwahiyo Mkuu unataka Kipara ajitwalie ubingwa na Mwa-City ili avunje rekodi ya Sir Alex Ferguson straight EPL winning trophies au unamaanisha nini?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hili nalo neno, ila hadi kwa sasa Arteta kalitupaMwenye uwezo ndie atabeba uwe unamtaka ama humtaki.
Huyu kilaza dadamlamayao atakuwa wapi mda huu..Huyu hapa dadamlamayao anabugia tu yai za Haaland. View attachment 2518814













Mwenye uwezo ndie atabeba uwe unamtaka ama humtaki.



anadhani kombe linatolewa kwa huruma ya timu.Wana arsenal wenzangu msihofu hii gemu ni ngumu lakini tutashinda bila tabu.
Wamekuja kudefend dkk ya60 tunawapigia sakoa Manure
🤣🤣🤣🤣🤣Tunashinda gemu tulieni mjifunze kwetu.
KENGE hutawaona humu
So far arsenal amepiga mpira mkubwa sana
🤣🤣🤣🤣🤣Cry mooooooooooooooooooore
City first half walikua wanapoteza muda, let's see second half
Leo Pep anategemea magoli ya set pices, labda atachange tactics 2nd half, who knows?![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Hili robot la kinorway limeamua kucheza ngumi sasa
Hii gemu itaisha 1-3
Arsenal Arsenal ni team ambayo imelogwa na mganga ameshafariki since 2005 why tulishow love kwa team hii ohhh why God why?
🤣🤣🤣🤣Kocha mwenyewe ana mpira wa aina moja tu unategemea nini,ni mjinga tu huyu
Nyie mbwa leo mko pungufu au mmetimia??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jorginho ana kimando
🙂🤨😯REKODI NYINGINE IMEWEKWA LEO ARSE8 HAJAPIGA SHUTI LOLOTE GOLINI UKIACHIA LILE LA PENALT YA KUPEWA
Never ever haitakaa itokeee members humu tunadanganyana Arsenal ni team ya kisenge no vision at all last season tukalia and now today tunalia
Ubingwa wa nyoko![]()
Beki ya Gabriel, Saliba itupe title? Haiwezekani. Stingy Club have never won the title
Eti Arsenal ichukue ubingwa, nyie mashabiki wa Arsenal mtakaa hivyo hivyo mpaka mtazeeka hakuna kitu kinaitwa ubingwa mtashihudia, save this utakuja kunishukuru baadae.
🤣🤣🤣🤣🤣Kabla ya mechiView attachment 2518801
GAY team sisi ni blood fans wa Arsenal but today nasema Arsenal ni GAY teamGoodnight Guys
Tuna maadui wengi ila naamini huu msimu ni wetu arsenal
Asiyekubali kushindwa sio mpinzani Leo tulikuwa kwenye pressure kubwa sana kitendo kilichosababisha Kutokee kwa individual errors nyingi sana...
Jorginho ni baller ila hatutamfaidi sabb arteta anamwamini shaka sana
#COYG
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Arsenal mna kiburi, mdomo, jeuri, fedhuri, matusi na shobo.....nyie ni wenzetu wa kawaida saaaanaa