Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio maana huwa nashangaa jesus kuwekwa bench halibaina ya uchezaji wake ndio unaendana na arsenal..
Makocha sometimes huwa wanakuwa na mahaba na mchezaji fulani kwa Arteta anampenda sana Kai kuliko Jesus lakini kwa upande wangu Jesus ni mzuri zaidi ya Kai
 
Reece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
Nimeakuambia nitajie wachezaji wewe ukaamua ulopoke tu

Palmer aanze alafu odegard au Eze atokee bench?

Caincedo over Rice! Tena mlimpambanisha na rice lakini maji na mafuta yalijitenga, kila mtu anajua hasa game tulizokutana head to head

Cowil over carafiori? Broo upo serious kweli?

Huyo Reece james anamtoa nani pale arsenal ili aanze yeye? Bruno G?
 
Reece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
James akiwa fit anacheza tena anaanza timu yoyote kama RB.

Pedro anaweza kupata namba timu yoyote (kutoitwa timu ya Taifa siyo kigezo cha kumuunderrate)

Caicedo hawezi kuanza Arsenal, labda aanzie benchi.

Palmer anawekwa bench timu ya Taifa na wachezaji wa Arsenal kabla ya Tuchel ilikua namba anaanza Saka akitoka Saka ni Madueke.

Colwill ni CB. Wewe unachomaanisha ni kwamba huyu afike Arsenal amuweke benchi Saliba au Magalhaes si ndiyo?

Unajua Arsenal kauza academy CB na kaenda kua starter united? Na dogo yupo vizuri ila aliona hawezi kupata minutes?
 
Tatizo hamtaki kukubaliana na uhalisia hivi una mchezaji gani zaidi ya Reece James au unataka mpaka awe Arsenal ujue ni Bora?
Timber anaweza kumchallenge Reece easily ila wote wakiwa fit na wapo timu yangu Timber namuweka LB Reece akae RB
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom