Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Reece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
Nimeakuambia nitajie wachezaji wewe ukaamua ulopoke tu

Palmer aanze alafu odegard au Eze atokee bench?

Caincedo over Rice! Tena mlimpambanisha na rice lakini maji na mafuta yalijitenga, kila mtu anajua hasa game tulizokutana head to head

Cowil over carafiori? Broo upo serious kweli?

Huyo Reece james anamtoa nani pale arsenal ili aanze yeye? Bruno G?
 
Reece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
James akiwa fit anacheza tena anaanza timu yoyote kama RB.

Pedro anaweza kupata namba timu yoyote (kutoitwa timu ya Taifa siyo kigezo cha kumuunderrate)

Caicedo hawezi kuanza Arsenal, labda aanzie benchi.

Palmer anawekwa bench timu ya Taifa na wachezaji wa Arsenal kabla ya Tuchel ilikua namba anaanza Saka akitoka Saka ni Madueke.

Colwill ni CB. Wewe unachomaanisha ni kwamba huyu afike Arsenal amuweke benchi Saliba au Magalhaes si ndiyo?

Unajua Arsenal kauza academy CB na kaenda kua starter united? Na dogo yupo vizuri ila aliona hawezi kupata minutes?
 
Huna timu ya kucheza mechi kila siku tatu.

Kwa sasa hauna timu ya kushindana na Arsenal
Ukitaka kujua ligi ya Malkia haitabiriki, muulize shabiki wa Liverpool aliyeshuhudia timu yake msimu wa 2024/25 alivyokuwa na matarajio ya kutawala ligi kwa miaka 10 mfululizo na alipoishia msimu wa 2025/26 tena baada ya maingizo bora kabisa.

Tujipe muda mkuu
Saint Anne Captain Marvelous
 
Cole Palmer alishaset standard ya juu tayari msimu wake mbovu ni wa msimu uliopita ambao kakosa mechi nyingi plus injury za mara kwa mara ndio kafunga goals 11 na Assist 3 kuwa mkweli hii takwimu kwa mchezaji mwingine kwake ndio best. Msimu wake wa Kwanza 2023/2024 kafunga goals 25 assist 15, msimu wake wa pili 2024/2025 kafunga goals 18 assist 14. Nakuja kwenye suala la Joao Pedro wewe umemuona kwenye hizi mechi za kumaliza msimu ndio kaanza kama no 9 ila nyingi hasa msimu wa Kwanza kaanza kama no 10 hasa tukicheza na team ndogo huwa Enzo anacheza no 8 sio 10.
Ndiyo mashabiki wenzako wamejiuliza kama wakubali ukweli kua jamaa ni one season wonder.

Msimu wa 23/24 cole palmer alikua ni mchezaji aliyefunga penati nyingi.
 
Ukitaka kujua ligi ya Malkia haitabiriki, muulize shabiki wa Liverpool aliyeshuhudia timu yake msimu wa 2024/25 alivyokuwa na matarajio ya kutawala ligi kwa miaka 10 mfululizo na alipoishia msimu wa 2025/26 tena baada ya maingizo bora kabisa.

Tujipe muda mkuu
Saint Anne Captain Marvelous
Arsenal kajikombe kimoja tu wanamaliza maneno
Kakombe walikokaa miaka zaidi ya 20 hawana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom