Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,978
- 10,368
Kocha mpuuzi , Martinelli mpuuzi
🤣🤣🤣🤣Martineli strike againKocha mpuuzi , Martinelli mpuuzi
Wenger and so as Arsenal. Hakuna kitu mnawezaMou fala alimuita Wenger specialist in failure na sio team.
Lakini Arsenyo wanamikimbio mizuri sana.Sisi wote ni die hard fans but kakojoe ulale hatuna team that's the fuckin truth why God aliamua kutuchagulia hii team why God?
Mmiliki au mabeki wajinga wajinga, yan mabeki wajinga ligi nzima basi ni wa arsenal arteta why hataki kujalibu beki mwingine upande wa Gabdiel, miaka yote na mechi muhimu huyu jamaa ni kichomiHuyu mmiliki asipoondoka Arsenal haitakaa ichukue kombe la EPL
Acha leo tuongezee kwa hilo tumethibitishaa🤣🤣🤣Wenger and so as Arsenal. Hakuna kitu mnaweza