Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji16][emoji16]
20221103_213054.jpg
 
Kipara anashukuru anakimbizana na hawa paka… hii nafasi aliyoipata Arsenal, ingekuwa Liverpool na kuyumba wa city asingemkuta Klopp hata kidgo.
Anguko la Arsenal wamelitaka wenyewe
2016 alikimbizana na Leicester City pumzi ikakata leo ndio anataka kukimbizana na timu za Manchester ataweza kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom