Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ni MBWA
Kuweni makini na comments zenu juzi nmelimwa ban

Mod mmoja atakua shabiki wa aseno sio bure
Screenshot_20230208-192612.jpg
 
Unapaka paka rangi mpira wenzako eneo kama hilo wanashuti, shauri yako
 
Pep kajaza viungo lakini timu yake haichezi hadi nikawa nahisi city katutegea mtego kwa jinsi tunavyowashambulia ila kwa jinsi wanavyopoteza muda nikaona kweli kwa kipindi cha kwanza wamefeli maana wana defend sana Bernado anatembea na saka na kashakula yellow kazi itakuepo second half
Mnaongea mno
 
Back
Top Bottom