ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,367
- 118,752
Hivi Partey ni majeruhi au shida nini?Hivi mnavyojisikia kumkosa partey na sisi tuliumia ivyo ivyo kumkosa casemiro kwenye mechi yetu na Nyie jikazeni tu mpo kwenu hapo msitie aibu.
Hivi Partey ni majeruhi au shida nini?Hivi mnavyojisikia kumkosa partey na sisi tuliumia ivyo ivyo kumkosa casemiro kwenye mechi yetu na Nyie jikazeni tu mpo kwenu hapo msitie aibu.
Mpigie simu yupo nayo mkononi umuulizeHivi Partey ni majeruhi au shida nini?
Ni nuksi kuwafunga Mashetani Wekundu. Pigaaa Arsenyani!!!
Kama huna jibu ungeacha aliyeulizwa ajibu kama anajua. Usijishushe kiasi hicho.Mpigie simu yupo nayo mkononi umuulize
Hawa mbuzi tumewakamata aiseeArsenal NDOO
so far arsenal kacheza mpira mkubwa kuliko city

Tumejaa tele mkuu mwanzo mwishoKumbe fans wa arsenal mpo mlivyotulizana kama hampo vile.

Kipa hakudhamiria kufata mpira,Penati sijaielewa elewa hii imepatikanaje
Penati sijaielewa elewa hii imepatikanaje
Penati sijaielewa elewa hii imepatikanaje