verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
City first half walikua wanapoteza muda, let's see second half
Pep kajaza viungo lakini timu yake haichezi hadi nikawa nahisi city katutegea mtego kwa jinsi tunavyowashambulia ila kwa jinsi wanavyopoteza muda nikaona kweli kwa kipindi cha kwanza wamefeli maana wana defend sana Bernado anatembea na saka na kashakula yellow kazi itakuepo second halfInabidi wachezaji wajitoe zaidi ya hapo maana Guardiaola ni mtu mjanja sana halafu ana benchi kubwa nje hua anatufunga kirahisi sana yani tukiswitch off kidogo tu itakula kwetu
Nyie ndo mjifunze kwetu sisi man City pamoja na kuanzia kupata goal lakini hata point moja hawakuondoka nayo ukaze sasa.Tunashinda gemu tulieni mjifunze kwetu.
Tulia we brazamenHahahahahh now ni zamu yenu
Hatujiamini izo boko zote za ovyo na makosa ni kukosa confidence..Ila arsenal wachezaji wanafanya makosa mengi sana daah
Dogo anazingua sanaHuyu nketiah nini anakosa pale