Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man City timu imechoka inawazazee eneo muhimu la katikati la uwanja Debruyne na Gundogan hawawezi kutoa energy kwa dakika 90 Arsenal tunavijana wwnye nguvu wanaokupa workrate kubwa pressing kuanzia kwa Nketiah,Saka,Martinelli odegard ichi kitu uwezi ukakiona kwa Haaland akikifanya,Mahrez akikifanya Debruyne Gundogan kukifanya kwa dakika 90 tumeona mechi na Villa walivyokua wanadai chenji,Eneo letu la kujilinda Arsenal linashida sikuhizi kutokana na poor movement za Ramsadale na mawasiliano na beki zake ila City wana matatizo zaidi magoli mawili first league na second league dhidi ya Spurs walivyofanyiwa pressing wamechoma Ederson na Rodrigo wamechoma,Kinachotakiwa Arsenal nikuitaka mechi tuu City hawawezi kuzuia kasi yetu hata kidogo labda watapunguza muda wa kufungwa na idadi ya magoli hivi wale wapigiwe msako kama aliopigiwa ndugu zao Manure watatoka salama manure embu saidieni kujibu hilo swali mkikumbuka ule msako!
Rudia tena kusoma ulichoandika
 
City siku hizi kwa uwepo wa haaland imekuwa timu ya counter, yaani wana hatari zaidi kwenye transition moments, najua wazi leo tunaenda defend thru settled play kuwanyima chance ya kushinda, very difficult kwa City kucreate chances uki organize defence yako, ikiwa tutashindwa contol transition basi tutafungwa. Arteta masterclass
Arteta masterclass
 
Sasa yale mashati yenu kama waganga wa kienyeji yataanza kupungua mtaani.

Mnatakiwa kujifunza toka jukwaa la man utd,siku tukifungwa tunampa heko mpinzani,tunajikosoa na tunaendelea na safari. Lakini uku arsenal jukwaa limejaa wajuaji kumzidi hata arteta na bench zima la ufundi kisa mchezaji mmoja kukosea mara moja.

Mwaka 2003 zilibaki mechi 8 arsenal akiwa anaongoza ligi kwa point 15 dhidi ya man utd ila hadi msimu unaisha,man utd akawa bingwa wa epl. Historia huwa haidanganyi.
 
That's soccer, tusonge mbele. We're in deep shyte though.
 
Haters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.

Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.

Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.

Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.

Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.

Good days are coming.🔥🔥🔥🔥
Wewe subiri city akuzidi points na muwe mnalingana naye idadi ya michezo mliocheza yani ubingwa mtaanza kuusahau tu.
 
Haters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.

Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.

Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.

Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.

Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.

Good days are coming.
Polee mpendwa yatapita
 
Haters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.

Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.

Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.

Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.

Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.

Good days are coming.
Yeah mapambano bado nitaamini tumepoteza ikifuka Mei Mimi bado naimini timu
 
Muda bado gunners keep trust tumefungwa na timu Bora zaidi yetu tujipange kivingine
 
Back
Top Bottom