Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Mechi yetu tumewashika wana yellow wachezaji wa 3
Tunashinda gemu tulieni mjifunze kwetu.Kumbe fans wa arsenal mpo mlivyotulizana kama hampo vile.
Msaada wa SIDAPenati sijaielewa elewa hii imepatikanaje
Ana tatizo la misuli! Anaweza akakosa mechi mbiliHivi Partey ni majeruhi au shida nini?
Wakati tukio linafanyika ilikuwa haraka sana na replay haikuoneshwaKipa angegusa ule mpira isingekuwa penat so kosa ni mpira umechewa na mchezaji na kipa ameenda kumvaa mchezaji so amecheza foul nashangaa why hapajewa kadi(na ingekuwa red maana tayal ana yellow)
Yellow mnabebwa hizo. Angalia mazingira yake yanashangaza. Na ile penaltMechi yetu tumewashika wana yellow wachezaji wa 3





Jamaa dimba kalikamata kisawa sawaJorginho, viatu vya Partey vinam-fit kiasi fulani
Cry moooooooooooooooooooreHuyu refa anaibeba Arsenal , Ametoa penati ya kijinga sana
-Hata kama amemvaa mshambuliaji alishapiga mpira (uvaaji wake haukuwa na madhara kwani mpira ulishatoka)Kipa angegusa ule mpira isingekuwa penat so kosa ni mpira umechewa na mchezaji na kipa ameenda kumvaa mchezaji so amecheza foul nashangaa why hapajewa kadi(na ingekuwa red maana tayal ana yellow)
Kipa kamfanyia madhambi Nketia!.. au ulikuwa unasinzia!Penati sijaielewa elewa hii imepatikanaje
Mbugi inapigwa kinoma noma,Tunashinda gemu tulieni mjifunze kwetu.
BufferingKipa kamfanyia madhambi Nketia!.. au ulikuwa unasinzia!
Yes Nketia sio wa kutegemea kukupa goli moja kwenye nafasi mbili, anaitaji nafasi 8 kukupa goli moja,,We are doing fine
City hajatengeneza chances za kutisha kiasi hicho.
Arsenal tumeonyesha spirit kubwa hata baada ya boko la Tomiyasu.
Hata hivyo tunahitaji mno individual brilliance kwakua hatuna lethal finisher
Inabidi wachezaji wajitoe zaidi ya hapo maana Guardiaola ni mtu mjanja sana halafu ana benchi kubwa nje hua anatufunga kirahisi sana yani tukiswitch off kidogo tu itakula kwetuMechi yetu tumewashika wana yellow wachezaji wa 3
He is one of us i betWe rarely lose a match when Anthony Taylor is officiating our game
Sent from my SM-S9080 using JamiiForums mobile app