marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,917
Usfanye hivyo bwanaNitafuatilia tena ligi ya Uingereza nikisikia Arteta kafukuzwa,kwaherini




Usfanye hivyo bwanaNitafuatilia tena ligi ya Uingereza nikisikia Arteta kafukuzwa,kwaherini




Link niliyokutumia umeiona?
Nishaisoma. Au niwe clear. Hicho kipande cha Arteta kilishatembea sana insta nilikiona kabla ya leo.Imeisoma, na wewe soma ya kwangu
Tuishi humu Arse8 0-1 Burnley mfungaji ni AubameyangSijawahi kukimbia uzi mzee, ni majukumu ya kikazi tu sometime unakuwa ktk mazingira ambayo so rafiki na social networks ..
All in all
Everton 1 Cheltako O
Tuishi humo Kwanza,
Hzo nyingine zote kelele




Hata kuandika hujui halafu unataka mshindeLeo 2nashinda gor nyng





Hahaha Demba Ba 1 kwa sasa ni Auba 10 ..bora wamchukue tuAuba me yang ndio anae tufungisha, tangu tumuongezee mshahara kawa kama khadija koppa.
Nashauri auzwe tumsajili Demba Ba.
Hili sio la kuuliza ..mchicha mwiba uleHivi Bellerin ni shoga kweli?




Zile mbwe mbwe zimekataUtaskia watu wanamlaumu kroenke hatoi pesa








Mourinho aliwarushia kijembe Arsenal (na timu zingine) walipomwacha Ancelotti na kumchukua Arteta. Alisema siku hizi timu zinataka kusajili kocha "mpya kabisa" ambaye kwenye rekodi yake ana zero defeats. Kwamba ukiangalia Ancelotti tayari kafungwa mechi mia ngapi huko unamwona garassa tu. Ila Arteta ni sawa na gari jipya zero kms run!Wakuu hii timu inaelekea pabaya sana
Arteta hana uwezo wakuinoa Arsenal msifarijiane hata kidogo .
-Huwez niaminisha Kuwa SOTON anakikosi kizuri kuliko ARSENAL
Yaani Arsenal haina kikos cha kustruggle kiasi hiki hata kama wabovu kama tunavyoaminishana . Walimu mnao wachukua sio sahihi kabisaaaa
Maforward ndiyo walinzi namba mbili wa set pieces, baada ya CBs.Inawezekana Leno alimuambia Auba "We striker gani hufungi kazi kuzurura tu" Auba akaona ngoja nikuonyeshe.
Jokes aside.
Tammy alijifunga nikashangaa forward anajifungaje leo forward wa Arsenal naye anajifunga.
Forward unafanya nini nyuma mpaka ujifunge?
Aisee hizi timu mbili mashabiki wengi hawajui kuwa matatizo ya msingi yanaanza kwa wamiliki. Mimi pia huwa naona namna gani Mashabiki wa United hawajui tatizo lao la msingi lilivyo kwenye umiliki. Nimegundua kuwa ni ngumu sana kuelewesha mashabiki walio wengi kuhusu hilo. Acha tu ziendelee hashtags. Sasa ni #ArtetaOut.Nimewahi kusema hapa na narudia kusema,Arsenal tatizo si kocha
Arsenal Tatizo kubwa ni mmiliki .
Kuna mtu(Shabiki wa Arsenal) niliwahi kumuelewesha kipindi flani ambako Unai emery anatimuliwa na Nkamwambia Arsenal tatizo si Unai bali tatizo lipo kwa mmiliki!,hakutaka kunielewa bali alisema "Ngoja sasa Arteta apewe timu halafu uone kama Arsenal hajabeba ubingwa"
Nilijitahidi sana kumuelewesha namna ninavyoifahamu hii timu toka nilipokuwa Shabiki rasmi toka enzi za miaka ya 2000 lakini kijana aligoma katakata na kusema "Tatizo la Arsenal ni kocha"
Leo hii tena Arteta hafai!,najua mashabiki watapiga domo Arteta atimuliwe ili walete kocha mwingine huku wakiendelea kujifariji ya kwamba tumeleta kocha mpya na ubingwa tutachukua!
Huwezi kutaka kumuua nyoka halafu umpige kwenye mkia badala ya kupiga kichwa,HAIWEZEKANI!
NARUDIA TENA ,TATIZO LA ARSENAL SI KOCHA BALI NI MMILIKI BWANA KROENKE!
Ninaifahamu Arsenal ndani na nje hivyo watu huwa wakiongea eti tatizo ni makocha,huwa nabaki nawatizama tu!
Nina pointi nyingi za kuwatetea makocha na nina pointi nyingi za kuelezea kwanini Bawana Kroenke hafai!
USIKU MWEMA,LALENI KWA MAUMIVU