Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Tupo kama wote tuna wasorola tu
Leo tuna kazi.
Kuna majamaa yanajiandaa kuja kuvamia uzi.
Leo tuna kazi.
Kuna majamaa yanajiandaa kuja kuvamia uzi.
Burnley ni kipolo chetu cha pilau, hakichachi.Washakupiga ngapi?
Timu flani hivi kutoka London, huwa wanavaa blauz za blue.
Mkapa sasa dakika ya ishirini huko hakuna shot on target![]()
Hapo nilikuwa naongelea kombe la epl mkuu.Shika adabu yako nyie msioijua Chelsea ndio mnaosemaga ya 2004. Eti unasema kombe la miaka 50 nyuma! Nakupa homework nenda ka google kabla ya mwaka 2000 Chelsea ilikua na makombe gani?
Kheri usiiongelee kabisa kuliko kuwapotosha hawa watoto
Auba me yang hajatupia bado?
Jamaa ni taasisi ya ukocha.Ifikie hatua tukubali Tu kwamba Mou ni kocha anayejitegemea , japo ana madhaifu yake pia ..... Ukiwa na Mourinho tu kwenye benchi inatosha kuamin kuwa Una timu uwanjani
Aisee, ila walistahili pointi hiyo moja hao Palace. Kipindi cha pili tumecheza vibaya. Japo na wao dakika za mwisho walikuwa na kipa mzuri.Mpira ni dakika 90, nilijua kwa dakika zilizobaki game imeisha kwa Mou.
Crystal Palace wanachomoa!
Tuwe serious.Mkapa sasa dakika ya ishirini huko hakuna shot on target![]()
Tuwe serious.
Unafanya kazi kitengo gani mpaka simu yako neno 'mpaka' ikupe autocorrect ya 'mkapa'?
Say what, Spurs sasa hivi ndiyo kiboko ya vigogo. Yaani kasalimika Chelsea peke yake.Hatuwezi kutoa sare game ya Tottenham, sahau kuhusu hilo.
Hamna cha kupotosha Chelsea imepokea plastic fans baada ya kuja Abramovic ni sawa na City baada ya huyo mwarabu kuinject pesa.Shika adabu yako nyie msioijua Chelsea ndio mnaosemaga ya 2004. Eti unasema kombe la miaka 50 nyuma! Nakupa homework nenda ka google kabla ya mwaka 2000 Chelsea ilikua na makombe gani?
Kheri usiiongelee kabisa kuliko kuwapotosha hawa watoto
Hivi Bellerin ni shoga kweli?
Mi nakushauri mtafute Dina Marios au Gea Habib uwe unasaidiana nao kwenye vile vipindi vya kusengenya watu.Burnley ni kipolo chetu cha pilau, hakichachi.
Una roho mbaya mpaka unaandika vitu havieleweki ili tusikueleweHawa Burnley kuna sehemu kidogo tu wanakosea, nina imani kipindi cha kocha atalifanyia kazi.