Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hizi thread zinaleta mvuto wa kishabiki, yaani timu yako inacheza halafu unakuwa unawaza tukifungwa itakuwaje kwenye thread.

Tottenham ameshasevu, bado sisi na nyie leo.
Mpira wake wa kupaki basi unamponza akijitahidi kushambulia ndiyo unaonna watu wanapenya
 
Arsenal XI: Leno, Bellerin, Gabriel, Holding, Tierney, Xhaka, Elneny, Saka, Willian, Lacazette, Aubameyang.
 
Arsenal XI: Leno, Bellerin, Gabriel, Holding, Tierney, Xhaka, Elneny, Saka, Willian, Lacazette, Aubameyang.
Auba me yang ndio anae tufungisha, tangu tumuongezee mshahara kawa kama khadija koppa.
Nashauri auzwe tumsajili Demba Ba.
 
We have a strong combination of strikers with a whim to win, only that injury is to blame for their absence
 
Tumeingia na 4 2 3 1 Burnley wameingia na 4 4 1 1 yaani ni kwamba wote tumeingia na lengo la kupashikilia katikati.

Ameaminiwa Elneny na Xhaka kustabilize pale kati Willian na Saka wapokee mipira Laca apige mashuti yake na Auba azengee kwenye final six.

Nimekua nikisema mara nyingi kwamba Auba asitokee kulia hana skills za kumuwezesha kufanya hivyo. Na hiki nakisema hapa muda huu Saka na Willian inabidi wabadilishane namba ili kufanya kwamba hao wanne mbele wote wawe wanaweza kuscore.

Timu inatakiwa iwe tishio left, right and center.

Remainder. Jana Dortmund kapigwa 5 kwa 1 na Bayern kasuluhu.
 
Tumeingia na 4 2 3 1 Burnley wameingia na 4 4 1 1 yaani ni kwamba wote tumeingia na lengo la kupashikilia katikati.

Ameaminiwa Elneny na Xhaka kustabilize pale kati Willian na Saka wapokee mipira Laca apige mashuti yake na Auba azengee kwenye final six.

Nimekua nikisema mara nyingi kwamba Auba asitokee kulia hana skills za kumuwezesha kufanya hivyo. Na hiki nakisema hapa muda huu Saka na Willian inabidi wabadilishane namba ili kufanya kwamba hao wanne mbele wote wawe wanaweza kuscore.

Timu inatakiwa iwe tishio left, right and center.

Remainder. Jana Dortmund kapigwa 5 kwa 1 na Bayern kasuluhu.

Leo Aubameyang yupo kati
 
Nipo Korogwe Manundu nielekezeni sehemu ninayoweza kuangalia mpira
 
Kwani sio mchezaji?
Mbona kaifunga timu kubwa na bora nchini England na ulaya kiujumla, Manchester United?
Tena goli la kideo, sio la penalt.
We una wazimu, demba ba umemuona mchezaji wa kuchezea arsenal?
 
Pumzika tuu mkuu, utapata matokeo hapa JF, au ukiwa na haraka basi live score, maana hao banley ni wabayaaaah!
Usikose kua na tembe ya panado pembeni.
Nipo Korogwe Manundu nielekezeni sehemu ninayoweza kuangalia mpira
 
Back
Top Bottom