Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mafoward, na kwa namba aliyocheza auba jana na tammy, wanatakiwa wasubirie mpira kwa ajili ya counter au kucheza one two na atakayetoka na mpira.
Mpira wa Sasa ndio unataka hivyo hayo maelezo yako Ni ya kipindi Cha zamani.
 
Adjustments.jpg
 
Nimewahi kusema hapa na narudia kusema,Arsenal tatizo si kocha

Arsenal Tatizo kubwa ni mmiliki .

Kuna mtu(Shabiki wa Arsenal) niliwahi kumuelewesha kipindi flani ambako Unai emery anatimuliwa na Nkamwambia Arsenal tatizo si Unai bali tatizo lipo kwa mmiliki!,hakutaka kunielewa bali alisema "Ngoja sasa Arteta apewe timu halafu uone kama Arsenal hajabeba ubingwa"

Nilijitahidi sana kumuelewesha namna ninavyoifahamu hii timu toka nilipokuwa Shabiki rasmi toka enzi za miaka ya 2000 lakini kijana aligoma katakata na kusema "Tatizo la Arsenal ni kocha"

Leo hii tena Arteta hafai!,najua mashabiki watapiga domo Arteta atimuliwe ili walete kocha mwingine huku wakiendelea kujifariji ya kwamba tumeleta kocha mpya na ubingwa tutachukua!
Huwezi kutaka kumuua nyoka halafu umpige kwenye mkia badala ya kupiga kichwa,HAIWEZEKANI!

NARUDIA TENA ,TATIZO LA ARSENAL SI KOCHA BALI NI MMILIKI BWANA KROENKE!

Ninaifahamu Arsenal ndani na nje hivyo watu huwa wakiongea eti tatizo ni makocha,huwa nabaki nawatizama tu!

Nina pointi nyingi za kuwatetea makocha na nina pointi nyingi za kuelezea kwanini Bawana Kroenke hafai!


USIKU MWEMA,LALENI KWA MAUMIVU
Inawezekana una hoja ya msingi ila hebu fafanua shida ya mmliki iko wapi ukizingatia msimu uliopita Arteta alipewa karibia wachezaji wote aliohitaj.
 
Miezi kadhaa nyuma zilikuja tetesi kwamba Arsenal inamfuatilia Dominick, jana zinakuja taarifa kwamba Arsenal haikupeleka hata ofa na Dominick anajiunga na Leipzig.

Kama vile hakuna mpango wa kurecover.

Arteta na Luiz haziivi. Inadaiwa Luiz anavujisha taarifa za klabu na Arteta amewaambia wachezaji yeyote ambaye amevujisha taarifa atapotea.

Wachezaji baadhi walikasirika na jinsi Arteta alivyoiongelea kadi nyekundu ya Pepe. Bado sijamsikia akiiongelea kadi ya Xhaka ila naamini itakua ni yaleyale.

Gabriel kasema msinune. Mnahitajika.
Time will tell
 
Aise niko down mpaka najiona sina raha na kitu chochote kile! Niko confused as well about Signor Arteta, apewe muda au tumkimbilie Allegri?!!
What a mess, nachekwa mtaani, pub hata na wafanya biashara wenzangu, currently am having little nightmare in my life, shit....
 
Aise niko down mpaka najiona sina raha na kitu chochote kile! Niko confused as well about Signor Arteta, apewe muda au tumkimbilie Allegri?!!
What a mess, nachekwa mtaani, pub hata na wafanya biashara wenzangu, currently am having little nightmare in my life, shit....
Pole bro
 
Aise niko down mpaka najiona sina raha na kitu chochote kile! Niko confused as well about Signor Arteta, apewe muda au tumkimbilie Allegri?!!
What a mess, nachekwa mtaani, pub hata na wafanya biashara wenzangu, currently am having little nightmare in my life, shit....
Baada ya kufungwa na Burnley tena Emirates kwa Burnley ambaye hakuwah kushinda hapo zaidi ya miaka 40 kwa sasa Arsenal inahitaji kocha mpya(narudia kocha mpya)tena angepatikana leo ,sioni kama J5 tutashinda hilo silioni kabisa timu imeshaanguka na jahazi linazama style ya uchezaji umeshajulikana kocha hana mbinu mpya hana zaidi ya kupiga cross hana cha kuoffer au plan B hana sasa unategemea kutakuwa na jipya na ukiangalia body language za wachezaji unaona wamekata tamaa

Kwa sasa tunapigania KUTOSHUKA DARAJA kuliko kwenda TOP 4 ambayo nafasi ishapotea hata mwaka haujaisha huo ndo ukweli kwa jinsi tunavyofungwa mfululizo hatuna utofauti na Sheffield United, West Bromwich au Fulham na Brighton tena tushukuru Mungu hao nao wanafungwa kama sisi wangeshinda mechi kadhaa tungekuwa wa 18 kabisa
 
Back
Top Bottom