Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu hii timu inaelekea pabaya sana
Arteta hana uwezo wakuinoa Arsenal msifarijiane hata kidogo .
-Huwez niaminisha Kuwa SOTON anakikosi kizuri kuliko ARSENAL
Yaani Arsenal haina kikos cha kustruggle kiasi hiki hata kama wabovu kama tunavyoaminishana . Walimu mnao wachukua sio sahihi kabisaaaa
 
Ooh folks

This isn't fun anymore

Mikel end has come to an end

A disappointing end for the Pep's apprentice.

Nime comment 'kibeberu' kama ndugu zangu wa the Kop
 
Tarehe 16 tuna Southampton,huyu ndo anakuja kitupgilia msumari wa mwisho kwenye Jeneza

Namna Southampton ambavyo huwaga anatusumbua hebu fikiria tunakutana naye sisi tukiwa wabovu na yeye akiwa on fire,walahi tutaumia sana tarehe 16
 
Inawezekana Leno alimuambia Auba "We striker gani hufungi kazi kuzurura tu" Auba akaona ngoja nikuonyeshe.

Jokes aside.

Tammy alijifunga nikashangaa forward anajifungaje leo forward wa Arsenal naye anajifunga.

Forward unafanya nini nyuma mpaka ujifunge?
 
_20201214_000321.jpg
 
Tarehe 16 tuna Southampton,huyu ndo anakuja kitupgilia msumari wa mwisho kwenye Jeneza

Namna Southampton ambavyo huwaga anatusumbua hebu fikiria tunakutana naye sisi tukiwa wabovu na yeye akiwa on fire,walahi tutaumia sana tarehe 16
Arteta atafika hiyo tarehe kweli?
 
Back
Top Bottom