Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Relief Mirzska na mysterio Kroenke hajawahi kutoa pesa yake kwa ajili ya usajli hata mara moja.

Mpaka jana wote tulikua tunajua Arteta haondoki leo wala kesho (sijui baada ya leo itakuaje) kwakua Kroenke na bodi walionyesha kumuamini Arteta na Kroenke aliridhia kutoa pesa mfukoni kwaajili ya usajili.

Kwa Mara Ya Kwanza.

Kwa mara ya kwanza tangu aitwae Arsenal pesa ya Kroenke itatumika dirisha la January. Mwezi uliopita alitumia kampuni yake nyingine kuingia ubia na Arsenal so hiyo kampuni (ninavyoamini) ndiyo itatoa hizo pesa so itaclear FFP.

Nyinyi mnasema mmiliki amekua akiback manunuzi, manunuzi gani? Fanyeni kupoint kwamba mchezaji fulani na fulanj ni pesa toka kwa Kroenke.
 
Nimewahi kusema hapa na narudia kusema,Arsenal tatizo si kocha

Arsenal Tatizo kubwa ni mmiliki .

Kuna mtu(Shabiki wa Arsenal) niliwahi kumuelewesha kipindi flani ambako Unai emery anatimuliwa na Nkamwambia Arsenal tatizo si Unai bali tatizo lipo kwa mmiliki!,hakutaka kunielewa bali alisema "Ngoja sasa Arteta apewe timu halafu uone kama Arsenal hajabeba ubingwa"

Nilijitahidi sana kumuelewesha namna ninavyoifahamu hii timu toka nilipokuwa Shabiki rasmi toka enzi za miaka ya 2000 lakini kijana aligoma katakata na kusema "Tatizo la Arsenal ni kocha"

Leo hii tena Arteta hafai!,najua mashabiki watapiga domo Arteta atimuliwe ili walete kocha mwingine huku wakiendelea kujifariji ya kwamba tumeleta kocha mpya na ubingwa tutachukua!
Huwezi kutaka kumuua nyoka halafu umpige kwenye mkia badala ya kupiga kichwa,HAIWEZEKANI!

NARUDIA TENA ,TATIZO LA ARSENAL SI KOCHA BALI NI MMILIKI BWANA KROENKE!

Ninaifahamu Arsenal ndani na nje hivyo watu huwa wakiongea eti tatizo ni makocha,huwa nabaki nawatizama tu!

Nina pointi nyingi za kuwatetea makocha na nina pointi nyingi za kuelezea kwanini Bawana Kroenke hafai!


USIKU MWEMA,LALENI KWA MAUMIVU

Naam mkuu

Embu tueleze kwa nini unaamini Kroenke ana shida
 
Recently, dili ya pepe, saliba, partey (japo huyu sio aliotakiwazaidi kitimu lakini tajiri aliambiwa na akatekeleza), salaries ya willian na auba is not a joke.
Hizi pesa zote katoa lini ikiwa kampuni yake ya kuweza kutoa hizo pesa haina miezi miwili?
 
Nlikuwa nimelala ila baada ya kuamshwa na my GF nimebaki najiuliza hatma ya Arsenal ni nini?Arteta nashangaa bado kocha wa Arsenal hadi sasa why?mbona makocha bora wa Dunia wapo?Edu kapiga hela nyingi sana na Arteta na board hadi ikampa umanager hata mwaka Arsenal hana leo hii wanaoneana aibu naapa mara 3 mara 3 tukipata point katika next 3 fixtures kama Arteta atakuwa bado ni mocha wa board sio fans (Southampton Everton then Chelsea) ntakunya humu humu JF
 
Negotiating team was not serious, but the fund was there
They were told to choose kati ya partey na aour na wao wakachagua walipochagua. It was not possible to buy them all na edu na genge lake wakafanya bad choice f**$#%@ them.

Edu na genge lake ndio wamefanya maamuzi juu ya ozil na madhara yake ndio haya. Now, go ahead and bench Aubameyang kama ana uwezo huyo arteta. Yaani anajikuta tu kashakuwa kiji-guardiola mtoto
 
Relief Mirzska na mysterio Kroenke hajawahi kutoa pesa yake kwa ajili ya usajli hata mara moja.

Mpaka jana wote tulikua tunajua Arteta haondoki leo wala kesho (sijui baada ya leo itakuaje) kwakua Kroenke na bodi walionyesha kumuamini Arteta na Kroenke aliridhia kutoa pesa mfukoni kwaajili ya usajili.

Kwa Mara Ya Kwanza.

Kwa mara ya kwanza tangu aitwae Arsenal pesa ya Kroenke itatumika dirisha la January. Mwezi uliopita alitumia kampuni yake nyingine kuingia ubia na Arsenal so hiyo kampuni (ninavyoamini) ndiyo itatoa hizo pesa so itaclear FFP.

Nyinyi mnasema mmiliki amekua akiback manunuzi, manunuzi gani? Fanyeni kupoint kwamba mchezaji fulani na fulanj ni pesa toka kwa Kroenke.

Hata kama hafanyi prompt payment he provides guarantee for the payment kupitia consortium zake
 
Nlikuwa nimelala ila baada ya kuamshwa na my GF nimebaki najiuliza hatma ya Arsenal ni nini?Arteta nashangaa bado kocha wa Arsenal hadi sasa why?mbona makocha bora wa Dunia wapo?Edu kapiga hela nyingi sana na Arteta na board hadi ikampa umanager hata mwaka Arsenal hana leo hii wanaoneana aibu naapa mara 3 mara 3 tukipata point katika next 3 fixtures kama Arteta atakuwa bado ni mocha wa board sio fans (Southampton Everton then Chelsea) ntakunya humu humu JF
Usifanye hivyo baba angu kwahiyo hasira zako unataka unye hapa?

Usinye bwana.
 
Relief Mirzska na mysterio Kroenke hajawahi kutoa pesa yake kwa ajili ya usajli hata mara moja.

Mpaka jana wote tulikua tunajua Arteta haondoki leo wala kesho (sijui baada ya leo itakuaje) kwakua Kroenke na bodi walionyesha kumuamini Arteta na Kroenke aliridhia kutoa pesa mfukoni kwaajili ya usajili.

Kwa Mara Ya Kwanza.

Kwa mara ya kwanza tangu aitwae Arsenal pesa ya Kroenke itatumika dirisha la January. Mwezi uliopita alitumia kampuni yake nyingine kuingia ubia na Arsenal so hiyo kampuni (ninavyoamini) ndiyo itatoa hizo pesa so itaclear FFP.

Nyinyi mnasema mmiliki amekua akiback manunuzi, manunuzi gani? Fanyeni kupoint kwamba mchezaji fulani na fulanj ni pesa toka kwa Kroenke.
Southampton ,Aston villa ,Leicester, Everton, hizo timu na Arsenal ipi ni timu ambayo inalipa vizuri na wachezaji wake wana thamani ya kidunia kama sio Arsenal?
 
Hata kama hafanyi prompt payment he provides guarantee for the payment kupitia consortium zake
Siyo wewe wala Relief Mirzska atakayetaja mchezaji ambaye ilitumika pesa ya Kroenke mtazunguka kwenye hivi hivi vikorido vya anagarantii and what not ila nilichoandika ndiyo ukweli wenyewe.

Unaweza point mchezaji, mmoja tu, huwezi tuonane baadaye hasira zikiwa zimepungua.
 
They were told to choose kati ya partey na aour na wao wakachagua walipochagua. It was not possible to buy them all na edu na genge lake wakafanya bad choice f**$#%@ them.

Edu na genge lake ndio wamefanya maamuzi juu ya ozil na madhara yake ndio haya. Now, go ahead and bench Aubameyang kama ana uwezo huyo arteta. Yaani anajikuta tu kashakuwa kiji-guardiola mtoto
Waliambiwa wachague? Arteta na wenzake walikua na uhakika wa kuwanasa hao wote wawili.

Ndiyo sababu ya ile video ya Cazorla ikionyesha bendera ya ufaransa na ya ghana. Right until tukaonekana hatupo serious kwa kujivuta kuweka ofa mezani.

Kroenke alikua wapi?
 
Kama Arsenal inawachezaji wanaopokea mshahara mkubwa tena kila wiki na wana thamani kubwa ya kidunia why tuzidiwe kiucheazaji na kipoints tena Gap kubwa hadi sasa na hizo team?
Baba angu mi naamini haupo sawa hivi unajua umeniquote mimi nikiwa nasema Kroenke hatoi pesa yake kununua wachezaji?

Hapa unaniuliza kwanini tunazidiwa points na hivyo vinega.

Bro kama unataka mtu wa kuongea naye slide into my pm drop your digits and we can talk.
 
Siyo wewe wala Relief Mirzska atakayetaja mchezaji ambaye ilitumika pesa ya Kroenke mtazunguka kwenye hivi hivi vikorido vya anagarantii and what not ila nilichoandika ndiyo ukweli wenyewe.

Unaweza point mchezaji, mmoja tu, huwezi tuonane baadaye hasira zikiwa zimepungua.

Mikel Arteta says Arsenal owner Stan Kroenke proved their backing for him with "big funds" to secure Thomas Partey's signature on deadline day.

Partey's £45million signature was a remarkable deadline day swoop for Arsenal, particularly after the Gunners had failed to sell the fringe players who could have helped fund his signing. Despite that they made the sizeable commitment to secure the Ghanaian, paying his buyout price in one sum at a time where most new players are paid for over multiple windows.
 
Waliambiwa wachague? Arteta na wenzake walikua na uhakika wa kuwanasa hao wote wawili.

Ndiyo sababu ya ile video ya Cazorla ikionyesha bendera ya ufaransa na ya ghana. Right until tukaonekana hatupo serious kwa kujivuta kuweka ofa mezani.

Kroenke alikua wapi?

 
Waliambiwa wachague? Arteta na wenzake walikua na uhakika wa kuwanasa hao wote wawili.

Ndiyo sababu ya ile video ya Cazorla ikionyesha bendera ya ufaransa na ya ghana. Right until tukaonekana hatupo serious kwa kujivuta kuweka ofa mezani.

Kroenke alikua wapi?

Alishatoa go ahead biashara ifanyike, lakini mgt ya arsenal ikakaa kwenye non-ending negotiation mpaka muuzaji akijitoa
 
Back
Top Bottom