Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila mara nawaambia hawa wachezaji ni vibaka tu wanapiga hela ya kroenke
Mkuu tuwe serous, hivi wachezaji waliopo Arsenal na Burnley wapi ni wakali? (Hapa nazingatia mmoja mmoja )

Kuna mwenzako mmoja alisema timu inakosa morally, me ninamuunga mkono.

Kwasasa Arsenal, silioni kosa, sio kwa kocha wala wachezaji.
 
Mkuu tuwe serous, hivi wachezaji waliopo Arsenal na Burnley wapi ni wakali? (Hapa nazingatia mmoja mmoja )

Kuna mwenzako mmoja alisema timu inakosa morally, me ninamuunga mkono.

Kwasasa Arsenal, silioni kosa, sio kwa kocha wala wachezaji.
Kocha gani anashindwa kuleta discipline kwenye timu? We have two players now suspended (red-carded), na katika matukio yote hayo suspension zao zinai-gharamu timu. Bahati mbaya mmoja ni moja wa makapteni mwingine nadhani ni namba tatu kwenye payroll. kosa alilolifanya Xhaka ni la kipumbavu kwa umri wake. He knew the team needed to win and the consequences of his madness
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners 💪💪💪💪💪💪
 
Mkuu, kwangu mimi, wewe ndie shabiki wa Arsenal hapa JF.

Kwanza nina imani hii timu haujaipendea jersey kama Dully Jr na genge lake.

Endelea kua na moyo kama huo ipo siku zitarudi zile zama za kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Nimefuatilia hii game kupitia sofascore na matokeo ndiyo kama hivi...

Kesho mtu unakua mkali kwa watoto utafikiri ndiyo walikutuma ushabikie Arsenal "Baba ninunulie bastola na gari na pikipiki na juisi na pipi" "Nitakupasua usiniongeleshe vitu visivyowezekana"
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
Mpaka sasa hakuna Team ambayo umnaweza kwenda mnauhakika wa point 3


Nasema tena hakuna kabisa
 
Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners 💪💪💪💪💪💪

Castr huwa anawashauri watu wa aina yako kuanzisha YouTube kwa ajili ya kufanya comedy.

Hii post yako ni zaidi ya comedy
 
Mpaka sasa hakuna Team ambayo umnaweza kwenda mnauhakika wa point 3


Nasema tena hakuna kabisa
Sio kweli Chief, kwa kasi ya jana tuliyoanza nayo isingekuwa uzembe wa Xhacha tulikuwa tunashinda mechi.

Hata hivyo sio kwamba tunaowezo wa kuifunga Everton mechi I kayo bali hata timu yako pendwa tutaifunga next game na kubeba points zote 3💪💪💪
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners 💪💪💪💪💪💪
yan arsenal ni zaidi ya Chelsea afu arsenal inamaliza top four😂😂😂😂
Hz ndio za mchana kweupeee🚮
🚶🚶🚶
 
Castr huwa anawashauri watu wa aina yako kuanzisha YouTube kwa ajili ya kufanya comedy.

Hii post yako ni zaidi ya comedy
Mkuu mbona imani yako kwa chama letu la Arsenal imeshuka namna hiyo??

Unadhani ninyi Liverpool hamkupitia kipindi kigumu ambacho sisi tunapitia now, kwanini Arsenal iwe hivyo??

Come on Buddha, hiki ni kipindi cha mpito tu. Its not our permanent level. Level yetu unaijua na ndiyo tunapambana kuirudia.
 
yan arsenal ni zaidi ya Chelsea afu arsenal inamaliza top four😂😂😂😂
Hz ndio za mchana kweupeee🚮
🚶🚶🚶
Fanya analysis ya kikosi chetu mchezaji mmoja mmoja dhidi ya kikosi chenu cha Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja, utaona namna ambavyo tulivyowazidi.

Sisi sio level yenu Chief
 
Mkuu hata New Castle ilikuwa timu kubwa na ilishuka daraja. Msipochukua hatua madhubuti mtashuka Asenane nyie.
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
 
Back
Top Bottom