angalau mmepata mshambuliaji..za leo majirani??
cc. Piere.Fm:wacko:
Kaka acha jazba tunazungumzia soka hapa kila timu ipo open kuzungumziwa. Inakuuma kuona mambo hayaendi kama ulivyotarajia nini? Juu ya Wilshere nakubali jamaa ana frustrate, sio siri, ukiwa mpenzi mkomavu wa soka lazima uangalie pande zote za shilingi.
Hakutaka kurudi ktk the sinking ship, why doing that when you are being offered an escape route??
Halafu inasemwa kwamba Falcao huenda amefeli jaribio la kwanza la uchunguzi wa afya yake (Medical)kule Man Utd, ila haiwekwi wazi.
Usisahau Welbeck ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza.
Atakuwa nyota akiwa Arsenal kuliko Yaya Sanogo.
Manu Wapuuzi wamesajili mchezaji wa mkopo kwa £ 20 M
Mkuu anachukuwa 350000
Pole kaka, kwani wewe ulitaka amsajili nani?, kwa dau gani?....alipwe mshahara kiasi gani?
kwa mkataba wa miaka mingapi?
:coffee:......maana sio PS3 game hii, formation ikikataa una delete mchezaji!
1. Duh, watu kweli mna chuki na United. Poleni, Falcao ndiyo huyo kapewa jezi No. 9..
2. Mpeni nanyi Welbz No. 9 
..........hapana, 23 ndio imemfaa! :coffee:
Mna jingine? hebu mwacheni sasa.
'....hamtajua thamani ya kitu mpaka mkipoteze!.....'
waka huu lazima tuwapige 9-0 si mnakumbuka 8-2 nyiee!!!! mwaka jana tulikuwa tia maji tia maji tuliwachapa 1-0 mwaka huu lazima tuwape 9-0...............huku FALCAO kule DI MARIA hapa ROONEY weweeee RVP huwa anawaonea huruma siku hio tunamtupa benchi!!!!!
Mshahara halisi ni 280,000 hizo zingine ni rumours tu mnasambaziana
Monaco hawakubali kumuuza Radamel Falcao bali, wamekubali
kumtoa kwa mkopo wa mwaka moja
Total cost £20 million - inaonekana wanataka ku-balance check book yao.
Prof yupo gado ameficha karata zake, lakini wachunguzi wa mambo wamebaini
Falcao Columbian star atatua Emirates on a d-day.
Na hapo ndipo Gunners watakuwa wamefunga kazi .... ... .. COYG
BTW nimeambiwa Morinyo tayari kapata tumbo la kuharisha .... .... ..
Prof hawezi kumnunua Welbeck baada ya Manure jufanya fujo kwa Falcao .... ..... ..... Manure hawakuwa wanamuhitaji bali ni wivu tu sasa mpunga utawatokea puani. Usajili utafanyika in three hours tutajua nani ndani nani nje lakini Welbeck is out ... .... ... ... COYG
Mwishoe Wellbeck ndani!! teh teh teh..Mzee wa timu za vichochoroni umefufuka khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini huishi kuja kwa Gunners si unaona menyewe majileta kwenye timu bab kubwa safi ana khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Gunners tunatisha hivi tu mnatapatapa ... ..... ...
:clock:.......'kwishaaaa!,'..... hehhe, umen'letea kashata? :coffee:
Falcao spanner mkononi ...
Mkuu agosti 8 Huku ni salaama mambo yanaenda vizuri.
Do you remember Sturidge saga!? Kama unakumbuka ni vema na ndio maana ninaposema jiwe walililolikataa waashi litakuwa jiwe la msingi nina maanisha.
Falcao spanner mkononi ...
Hapo Gunners mbona spana mkononi wanapokezana kila siku Diaby,Wilshere,AOX,Rosisky,Ramsey,Gibbs now hata Ozil nae kaanza kuambukizwa