Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


£ 350,000 per Week FALCAO.
£ 300,000 per Week Rooney
£ 250,000 per Week Di Maria
£ 220,000 per Week, Van Persie.....

#7UpWamechanganyikiwa!......

Ooooppsss, wamesajili golikipa wa Sampdoria! .....still loading!
:nerd::nerd::nerd:​

Falcao atalipwa £ 140,000
 
ImageUploadedByJamiiForums1409626942.676408.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wacha uongo wewe hiyo ni media ya UK kila mchezaji lazima ahusishwe na Gunners kwanza .... ..... . naona umefufuka weekend yote uliunyuti khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyie ni vilio tu mwaka huu 7Up!

Wewe si ulisema Wenger hasajili tena?
 
Dah! Ila Wenger nuksi. Wenger ni mchumi, sio kocha. Angepanda uongozi wa juu tu awe mshauri huko. kwa hiyo angalau wachezaji wawili tumewaongeza msimu huu. Sanchez na Welbeck (endapo atadhibitishwa), sababu kiukweli Debuchy ni direct replacement wa Sagna, na Chambers ni direct replacement wa TV5. Labda kwa Welbeck sasa waingereza wataanza kumpenda kidogo Wenger kwa kuwa na viyoso vingi vya timu ya taifa. Ila Kiungo mkabaji ndo tusahau sasa. NB: Welbeck endapo atadhibitishwa hatimaye atakuwa kaiona Champions League, wakati RVP, Rooney, Di Maria, Falcao hawapo! Lol!

Kumbuka pia Jekinson, yule back up ya full back ya kulia kapelekwa kwa mkopo. Ina maana Chambers ndio cover ya Debuchy, Koschienly na Martesacker. Lazima atashindwa maana majeruhi yatamzidi. Kumuuza Vamerlean bila kumreplace sawasawa ni sheedah. Cha moto tutakiona tu pale tutakapokutana na wakongwe tukiwa na majeruhi.
 
Welcome to arsenal Danny Boy .. kijana kaona mbali maana aligoma mkopo kataka permanent deal

Tangu mafuriko yaje yalikusomba naona umerudi,i hope mafuriko yakiwa msimu huu hayatakubeba
 
lile balaa alilokuwa analifanya akiwa sunderland sasa atalifanya akiwa arsenal timu yenye viungo wakali kabisa uingereza...karibu arsena shabba ranks naamini utafanya makubwa kwani soka lipo na nguvu zipo
 
Kutoshiriki kwetu uefa safari hii naona kunatucost sana aisee,wachezaji wanaanza kutukimbia na kuhamia timu pinzani.Tushampoteza Welbeck tayari.Hongereni Gunners kwa kuchukua kifaa hicho,nna imani kitawasaidia sana tu


Hata mimi naona ......
 
danny mbona poa tu.................

Nami nawashangaa! Wamepumbazwa na huyu Falcao ambaye ni 31 yrs sijui, ila kazuga kibongo bongo! Danny poa kabisa, dogo, ana uzoefu na bado ana room ya kuimprove akiwa na prof. Sasa hivi Arsenal ni The Three Lions.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Karibu Arsenal kijana Danny Welbeck.







BwfJtlYIUAA7mD5.jpg


Danny Welbeck alipokuwa Man Utd katika msimu wa 2012/13 alicheza mechi 27 na akafunga goli moja tu.

Lakini ametoa sababu ya kufanya hivyo, kwamba mzee Alex Ferguson alikuwa akimchezesha upande wa kushoto pembeni na hali hio ilikuwa ikimpa tabu kugeuka kwenda eneo la hatari na wakati mwingine akiwa na majukumu ya ulinzi wa back four.

Akiwa Arsenal, Welbeck atacheza namba 9 akiwa mshambuliaji badala ya Yaya Sanogo na huku akiziba nafasi ya Olivier Giroud hadi mwakani hivyo kuwa na jukumu la kumalizia vyumba vingi vitakavyokuwa vikitengenezwa na Ozil, Cazorla, Wilshere na Sanchez.

Welbeck ataingia uwanjani tarehe 13 Sept wakati Arsenal itapopambana na Man City.

Niwe tofauti na watu wengi, Iam very optimistic on this kid, nafikiri amechagua timu sahihi. Time will tell, 16M was a steal. Tutatafutana!
 
Back
Top Bottom