Angalieni msifungwe mechi 2 au 3 ndani ya miezi 3 ya LVG adjustment period, sababu mkishafungwa hizo mjue itakuwa very mbinde kurudi top 4. Arifu afu kuna beef gani kati ya LVG na kina Giggs/Welbeck? Naona LVG ameanza kulalamika maswala nyeti yanafichuliwa barazani bila ruhusa yake.
I told you SOOOOOOO!!!! Haya toa pole sasa.
Ya OT hayakuhusu...deal kwanza na mpango wa 'kurudisha' kiwango cha overrated player wenu, Wheelchair, mvuta fegi!!
Ha ha ha.... Sare lakini kama mmeshinda mnavyoshangilia,
Yes ni kama ushindi banaa.... ugenini unacheza na timu nzuri kama Everton zikiwa zimesalia dakika 10 unarudisha goli zote ni ushindi banaaa...Hukuwaona wameshika vichwa kama wako msibani!?
Its over .. .... .... .2 - 2 anyway wamebebwa na refa goli la offside limetunyima 2 points .... .... .... .
Wilshere ana bahati ni muingereza afu kamfanyia faulo muingereza mwenzake ingekuwa otherwise ingekuwa Red pale
Welcome to Arsenal Bulldog naona umefurahia never say die attitude ya wana Arsenal hahahaha. Wengine mliochoka kukaa mtaa wa saba mnakaribishwa pia.