Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Dahhh, mbona hamna imani na Gaffer jamani? InArseneWenger I trust,.......😛op2:
Si ajabu akachezeshwa Centre Half halafu akang'ara vile vile!
:hail::hail::hail::hail::hail:,umenifurahisha sana naombea amchezesha centre half siku tukikutana
 
Arsenal kwa kweli tunahitaji beki na kiungo namba 6(Arteta na Flamini) ni squad players afu tunahitaji mtu wa kumreplace Ramsey(akiumia). Mwaka jana Ramsey alipoumia kila kitu kikakwenda mrama(mlama). Naamini Sanchez atakuwa mfungaji mkubwa wetu, plus Walcott akirudi(endapo atakuwa katika form kama awali) ataongoza ushambuliaji na atafunga magoli.

- CHAMBERS,

- DEBUCHY

......halafu hapo kwenye kiungo yupo Vassiriki Abou Diaby, Francis Coquelin na Gideon Zelalem.
NO panic buys banaaaa,......! Si huyo OZIL alisajiliwa kwa mbwembwe £42m, ila 'mdebwedo' tu!

InArseneWengerItrust!!!
 
Welbeck bado dogo, sio ka kina Silvestre. Huyu dogo Arsenal atawika tu. Vitu viwili sijapenda ni dili la mkopo na pia panki lake silipenda, maisha mapya Arsenal aache kuwa Shaba Ranks.

Dili bado halijakamilishwa. Pamoja na kuwa mdogo kuna uwezekano kiwango alichofikia ndo alichotakiwa kufikia. Sikio haliwezi kuwa kubwa kuliko kichwa. I stand to be corrected.
 
:hail::hail::hail::hail::hail:,umenifurahisha sana naombea amchezesha centre half siku tukikutana

....Kwa ile formation yenu ya ....
♬to the left-to the left!♬ wallahi anaweza cheza Centre half
...na kuwa man of the match!
😛op2:​
 
Nimekuelewa sasa Mzee wa Kuala Lumpur...

Bado haujanijibu...Tatizo la Man U ni mshambuliaji au safu ya ulinzi na DM?...

Kuna umuhimu gani wa kumsajili Falcao ilhali tayari mnao Mata, Di Maria, RVP, Rooney na Valencia?... Kwa nn LVG asisajili beki na DM ambao ni tatizo kwa Man U?

Mkuu una point kubwa. LVG alisema timu haijabalansi, Man Utd ina wachezaji kibao wanaocheza nafasi moja, cha ajabu anazidi kuleta wachezaji wanaocheza nafasi hiyo hiyo. Hata kama Falcao kaja kuwareplace Chicharito na Welbeck bado hajasolve nyuma. Hivi kina Daley Blind na sijui nani vile walishasaini? Belo
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Prof hawezi kumnunua Welbeck baada ya Manure jufanya fujo kwa Falcao .... ..... ..... Manure hawakuwa wanamuhitaji bali ni wivu tu sasa mpunga utawatokea puani. Usajili utafanyika in three hours tutajua nani ndani nani nje lakini Welbeck is out ... .... ... ... COYG
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dili bado halijakamilishwa. Pamoja na kuwa mdogo kuna uwezekano kiwango alichofikia ndo alichotakiwa kufikia. Sikio haliwezi kuwa kubwa kuliko kichwa. I stand to be corrected.

Mkuu ukweli ni kwamba huyu sio mchezaji wa kutufanya tuwe wapinzani, huyu ni mjaza nafasi tu!! Kwa timu hii ukilinganisha na usajili unaofanywa na wenzetu kushinda vikombe ni ndoto
 
Hujanielewa mkuu rubaman anaelewa atakusaidia ,in short mafanikio ya Man United kwa kiasi fulani yamechangiwa sana na Wenger.Now anatusaidia kufanya overhaul ya kikosi chetu,kumbuka kuna kipindi alikuwa anamtaka Cleverley

Wacha uongo wewe hiyo ni media ya UK kila mchezaji lazima ahusishwe na Gunners kwanza .... ..... . naona umefufuka weekend yote uliunyuti khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyie ni vilio tu mwaka huu 7Up!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Prof hawezi kumnunua Welbeck baada ya Manure jufanya fujo kwa Falcao .... ..... ..... Manure hawakuwa wanamuhitaji bali ni wivu tu sasa mpunga utawatokea puani. Usajili utafanyika in three hours tutajua nani ndani nani nje lakini Welbeck is out ... .... ... ... COYG
Bwahaha aaaaaaaaaaaa lolz@ deluded arsenil fanatics..
 
Nimekuelewa sasa Mzee wa Kuala Lumpur...

Bado haujanijibu...Tatizo la Man U ni mshambuliaji au safu ya ulinzi na DM?...

Kuna umuhimu gani wa kumsajili Falcao ilhali tayari mnao Mata, Di Maria, RVP, Rooney na Valencia?... Kwa nn LVG asisajili beki na DM ambao ni tatizo kwa Man U?

Wacha waende kugombana huko na 7UP! yao, wana wivu wa kike khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mchezaji kama Falcao anakwenda kucheza mchangani khe khe khe hkhe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Bwahaha aaaaaaaaaaaa lolz@ deluded arsenil fanatics..

Mzee wa timu za vichochoroni umefufuka khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini huishi kuja kwa Gunners si unaona menyewe majileta kwenye timu bab kubwa safi ana khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Gunners tunatisha hivi tu mnatapatapa ... ..... ...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

- CHAMBERS,

- DEBUCHY

......halafu hapo kwenye kiungo yupo Vassiriki Abou Diaby, Francis Coquelin na Gideon Zelalem.
NO panic buys banaaaa,......! Si huyo OZIL alisajiliwa kwa mbwembwe £42m, ila 'mdebwedo' tu!

InArseneWengerItrust!!!

Diaby si wa kuhesabu. Pamoja na kipaji chake anaumia hovyo hovyo sana, jamaa ana bahati mbaya kuliko wachezaji niliwahi kuwajua. Francis Coquelin hana future Arsenal sijui hata kama ataweza kumnyang'anya namba mzee Flamini. Zelalem ni mchezaji wa Capital One Cup na reserve team. Tunahitaji wachezaji watakaoweza kusaidia katika ligi na UCL. Ozil ndo hivyo tena ana frustrate kama Wilshere sio siri. Kwa maono yangu Wenger anakosea kuwachezesha Wilshere na Ozil pamoja. Sababu wote wanacheza nafasi hiyo hiyo (namba 10) hawawezi kucheza nafasi nyingine kwa ufanisi.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
BREAKING NEWS!!!!!!!!!!!!
Transfer deadline Day Arsene Wenger Signs PHOTOGRAPHS



 
Nimekuelewa sasa Mzee wa Kuala Lumpur...

Bado haujanijibu...Tatizo la Man U ni mshambuliaji au safu ya ulinzi na DM?...

Kuna umuhimu gani wa kumsajili Falcao ilhali tayari mnao Mata, Di Maria, RVP, Rooney na Valencia?... Kwa nn LVG asisajili beki na DM ambao ni tatizo kwa Man U?

Kuwasajili kina Falcao sio tatizo kiungo mkabaji tayari kamsajili Blind na huenda January akamsajili Strootman deal ya Falcao ni loan huenda ikawaamsha Rooney na RVP wakajua kuwa hawako salama

On my view ninahisi LVG anataka kujenga timu upya wachezaji wengi aliowakuta amegundua hawafai kwenye mfumo wake so hakuna ambaye yuko salama.Tayari Kagawa,Chicharito,Cleverley,Wellbeck,Fellaini,Anderson,Rio,Zaha,Nani kawaambia hawataki. Huu utakuwa msimu muhimu sana kwa RVP,Fletcher,Smalling,Young,Evans,Carick,Valencia,Rafael wasipofanya vizuri msimu ujao huenda nao panga likawapitia
 
Kuwasajili kina Falcao sio tatizo kiungo mkabaji tayari kamsajili Blind na huenda January akamsajili Strootman deal ya Falcao ni loan huenda ikawaamsha Rooney na RVP wakajua kuwa hawako salama

On my view ninahisi LVG anataka kujenga timu upya wachezaji wengi aliowakuta amegundua hawafai kwenye mfumo wake so hakuna ambaye yuko salama.Tayari Kagawa,Chicharito,Cleverley,Wellbeck,Fellaini,Anderson,Rio,Zaha,Nani kawaambia hawataki. Huu utakuwa msimu muhimu sana kwa RVP,Fletcher,Smalling,Young,Evans,Carick,Valencia,Rafael wasipofanya vizuri msimu ujao huenda nao panga likawapitia

Wacha kutujazia uzi wetu bure bure tu, habari za Manure si mna uzi wenu kule ... ... kawaeleze kule khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee leo transfer day bana .... .. Kha!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Arsene-Wenger.jpg


Prof alimaliza usajili wake long time yupo Rome
kwenye mambo mambo ... . . safi an
Le Prof
Wasikusumbue hawa British media na agenda zao
Kila uchwao wanataka kumchagulia wachezaji ...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu una point kubwa. LVG alisema timu haijabalansi, Man Utd ina wachezaji kibao wanaocheza nafasi moja, cha ajabu anazidi kuleta wachezaji wanaocheza nafasi hiyo hiyo. Hata kama Falcao kaja kuwareplace Chicharito na Welbeck bado hajasolve nyuma. Hivi kina Daley Blind na sijui nani vile walishasaini? Belo

MANCHESTER UNITED SIGN....BLIND!

Finally confirmation comes through that Daley Blind is indeed now a Manchester United player, although it takes the Dutch club Ajax to confirm the deal.
 
Kuwasajili kina Falcao sio tatizo kiungo mkabaji tayari kamsajili Blind na huenda January akamsajili Strootman deal ya Falcao ni loan huenda ikawaamsha Rooney na RVP wakajua kuwa hawako salama

On my view ninahisi LVG anataka kujenga timu upya wachezaji wengi aliowakuta amegundua hawafai kwenye mfumo wake so hakuna ambaye yuko salama.Tayari Kagawa,Chicharito,Cleverley,Wellbeck,Fellaini,Anderson,Rio,Zaha,Nani kawaambia hawataki. Huu utakuwa msimu muhimu sana kwa RVP,Fletcher,Smalling,Young,Evans,Carick,Valencia,Rafael wasipofanya vizuri msimu ujao huenda nao panga likawapitia

Loan gani bana, it's a 4yrs deal.
halafu hilo dau la £320,000 per week mnataka muudhi Rooney tu!
Van Persie ndio majeruhi mpaka 2015, ....Rooney akinuna hata 7Up mtaitizamia kwenye friji tu!
 
Rubaman kweli unaamini Wenger anaweza kwenda Italy bure bure! Kunaweza Kuwa kuna jambo Arsenal wakashangaza wengi dk za mwisho za Usajili Strootman? Au mtu yoyote ambaye wengi watashangaa chochote kinaweza kutokea Medical zengine sio lazima ndani ya Club! Pesa ni kila kitu pia.
 
Back
Top Bottom